Hivi ni sawa wife material kuwa fundi kiasi hiki?

mi mwenyewe nimekuwa mcharo siku hizi,mwenzango atakuwa anajisomea viarticles yaani kila siku anawaza namna ya kukunogesha
 
Mie pia naombea hivo.

Hapa nimetoka home nimehakikisba simu yake ina spyware ili nimalizie uchunguzi. Nikithibitisha kafanya kwa ajili yangu basi naweza fikiria kuoa kabisa
unaharibu sasa
 
Mie pia naombea hivo.

Hapa nimetoka home nimehakikisba simu yake ina spyware ili nimalizie uchunguzi. Nikithibitisha kafanya kwa ajili yangu basi naweza fikiria kuoa kabisa
Ujamuoa akutunzie hao wengine hawana macho? Haina makombo hio
 
Nadhan kama unataka kuzaa nae si lazma awe kama unavyodhani. Na IQ pia kama ya kwako. Ili uwe na bright kids. Usije ukatuletee watoto kama wa shule ya mburahati waliofeli karibu mia tatu form two. [emoji1][emoji108]
Ni vile ulikaa muda mref na ww bila kumwona. Akawa anapitia groups mbalimbali pamoja na video sex & cumming. Yan siku hiz sijui nan atakuwa na ile African taste. Na ivi GOv. Inataka kugawa smartphone kuongeza karibu kwa adults wote tz.
 
Kwani mkuu unainjoi au hauinjoi huo utundu wake?

Kweli tumetofautiana wengine ndo tunawataka hao watundu kitandani
 
Mpumbavu kweli huyu jamaa. Unamwita mwanamke wife material, hauna mpango wa kuoa lakini unataka umzalishe tu halafu nani amuoe?
Kama hautaki kuoa usiwaze kuhusu kupata mtoto, unaharibu maisha ya binti na huyo mtoto atakaye zaliwa.
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu.
 
Hivyo hivyo unavyowaona wahuni,na wenyewe ndo wanavyokuona takataka. Yaani wewe una uwezo wa kulala na demu kwa 150k, huku unae mwingine,yeye ukimlala unampa ngapi?
Af unajiona kidume. Ovyo
 
Acha niishie hapa yeye ufundi kautolea wapi??
 
Watu tunabuni mbwinu kila mara tuwe wapya we unasemaje?
 
uko sahihi kiongoz
 
Kumaliza kabisa muombe na tigo
 
Kaka hili lipo kabisa na lishanikuta kwa wanawake wawili na wote walijifunza utundu kupitia xx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…