Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Na huyo malkia amefanya shambulio la kushtukiza dhidi ya waliokuwa wanapanga mipango ya kumuondoa huyo malkia mamlakaniKuna kitongoji kimoja huko mashariki ya kati wamekaa viongozi wao ambao ndio wasomi, ndio wenye uono wa mbali, ndio ma genius.
Hao viongozi kwa pamoja wanashangalia na kushinikiza kitongoji chao kiendelee kutawaliwa na malkia kutoka kitongoji jirani.
Aisee hapa uchawi umehusika.
Ila nasikia wale wasiomkubali wameapa kuwa kabla ya April kitaelewekaNa huyo malkia amefanya shambulio la kushtukiza dhidi ya waliokuwa wanaopanga mipango ya kumuondoa huyo malkia mamlakani
Ktk hili, ccm wamefanyiwa dhulma kubwa sana ya kidemokrasiaIla nasikia wale wasiomkubali wameapa kuwa kabla ya April kitaeleweka
Nitawashangaa sana kama Watanganyika wenzangu ndani ya chama watakubaliana na huu upuuzi wa kuiuza nchi yao kwa wageni.Ila nasikia wale wasiomkubali wameapa kuwa kabla ya April kitaeleweka
Kwan katiba ya hicho Kijiji unasemaje?? Utaratibu wa kua mwenyekiti ukojee???Kuna kitongoji kimoja huko mashariki ya kati wamekaa viongozi wao ambao ndio wasomi, ndio wenye uono wa mbali, ndio ma genius.
Hao viongozi kwa pamoja wanashangalia na kushinikiza kitongoji chao kiendelee kutawaliwa na malkia kutoka kitongoji jirani.
Aisee hapa uchawi umehusika.
Wamafanyiwa counter attack kama ile Lissu aliyomfanyia Sultan MboweKtk hili, ccm wamefanyiwa dhulma kubwa sana ya kidemokrasia
Watafanya niniIla nasikia wale wasiomkubali wameapa kuwa kabla ya April kitaeleweka