Hivi ni uzembe wa mdomo au maksudi?


Vinaadhiriwa = vinaathiriwa? We Mkenya?
 
Reactions: RR
Nope...a stupid mistake!
Nahisi nilikua nawaza kosa la kuchanya dha na tha wakati naandika!!

Ha ha ha..nilidhani we ni Mkenya, kwa sababu Wakenya wao huwa hawana tha. Sasa sijui ni kabila fulani tu huko Kenya au vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…