Hivi ni uzembe wa mdomo au maksudi?

Hivi ni uzembe wa mdomo au maksudi?

Nawe umechemka
"kaaribu" badala ya "kaharibu"
 
Tiba kama ulikuwa na mimi huyu jamaa kaaribu huo uzi mpaka nimeanzisha uzi wa kulalamika wajirekebishe eti (abilia)

aaaa wewe nae na wale wale, sio "kaaribu" nadhani neno sahihi ni "Kaharibu" niko tayari pia kukosolewa!
 
Huwa nachukia sana ninaposoma na kukutana na maneno haya
Lula badala ya Rula
Mologolo-morogoro
Foreni-Foleni
Ugari-Ugali
Kula-Kura
Nimekuwa nikijiuliza tatizo ni nini kwa watu kama hawa
Nashauri tuanze kuwapiga vita kuboresha lugha yetu ya kiswahili
Tulipiga vita X kuwa S na tumefanikiwa
Kuna mkuu anaitwa LEGE kaanzisha topic anaandika ABILIA wa makongo,Kaaribu utamu wa UZI jirekebishe MKUU
Usichukie mkuu LEGE hapa ni sehemu ya kurekebishana jombaa!
Inawezekana ni watu wavivu wa kubadilika huwezi kuwa kiongozi mkubwa wa nchi then unatumia kuongea au kuandika kwa mfano niliotoa hapo juu.

mkuu nimekupata haina shida mkuu pamoja sana siwezi chukia au kasirika kwa kurekebishwa.
na kamwe sina ndoto ya kuwa kiongozi hata wa mtaa au nyumba 10 zaidi ya kuwa kiongozi wa familia tuu kama baba.

hiki nikijitatizo chamakusudi sana sababu sio kwamba kuandika hivyo hatujui matumizi ya R na L lakini huwa makusudi tuu mkuu.

ni kama watu wanavyoamua kuandika x badala ya s.

wakuu malalamiko yenu yamefika na yanafanyiwa kazi. siunajua tena mazoea hujenga tabia??

harafu thread yenyewe nilikuwa naandika wakati nipo kwenye daladala foleni ya maana hasira za kucheleweshwa mwenge stendi basi taabu tupu.

mkuu Kibo10 nimefika mkuu pamoja sana mkuu nashukuru kwakunistua juu ya hili
 
Last edited by a moderator:
Tiba kama ulikuwa na mimi huyu jamaa kaaribu huo uzi mpaka nimeanzisha uzi wa kulalamika wajirekebishe eti (abilia)

kwikwikwikwi khe khe khe khe ama kweli nyani halioni kundure??. mkuu unajifanya unajua kumbe na wewe ni mmoja wapo?? hivi unajisikiaje hapo ulivyoboronga?
 
mkuu nimekupata haina shida mkuu pamoja sana siwezi chukia au kasirika kwa kurekebishwa.
na kamwe sina ndoto ya kuwa kiongozi hata wa mtaa au nyumba 10 zaidi ya kuwa kiongozi wa familia tuu kama baba.

hiki nikijitatizo chamakusudi sana sababu sio kwamba kuandika hivyo hatujui matumizi ya R na L lakini huwa makusudi tuu mkuu.

ni kama watu wanavyoamua kuandika x badala ya s.

wakuu malalamiko yenu yamefika na yanafanyiwa kazi. siunajua tena mazoea hujenga tabia??

harafu thread yenyewe nilikuwa naandika wakati nipo kwenye daladala foleni ya maana hasira za kucheleweshwa mwenge stendi basi taabu tupu.

mkuu Kibo10 nimefika mkuu pamoja sana mkuu nashukuru kwakunistua juu ya hili

Pamoja mkuu hii ndio raha ya JF mjombaa
 
Last edited by a moderator:
Kiswahi kigumu kuliko kizungu mkuu
Ila mimi situmii x wala li na ra mjombaa
Hizo zinaweza kuku sababisha ukaacha kusoma uzi

mkuu kila mmoja na yake haupo kwenye x na li upo kwingine mwisho wa siku wote tunawekwa kundi 1 tu niwaharibifu wa lugha
 
mkuu kila mmoja na yake haupo kwenye x na li upo kwingine mwisho wa siku wote tunawekwa kundi 1 tu niwaharibifu wa lugha

Hahaha mkuu mwisho wa siku tumejifunza jombaa
Nashukuru kwa elimu fupi
Ila pia nimekuelimisha mkuu
 
Hahaha mkuu mwisho wa siku tumejifunza jombaa
Nashukuru kwa elimu fupi
Ila pia nimekuelimisha mkuu

mkuu hilo ndio lengo la jf mkuu ingawa siku hizi za karibuni hali imekuwa tofauti sana na kubadili dhana hiyo??
kabisa ya kuelimishana.

nilijiunga jf kwa msaada wa google kwani kila nikiwa natafuta solution ya mambo flan google inanilete huku jf.

siasa na mapenzi zimeiharibu kabisa jf.sio kwamba zamani hakukuwa na hayo mambo but yalikuwa kivingine na kimanufaa zaidi now siasa nizakipuuzi kutwa kucha nikutukanana tuu wanatuletea habari za uongo.

ukija kwenye mapenzi halikadharika ni upuuzi tu kwakwenda mbele. mambo ya tigo ndio yana jaza server za jf
 
mkuu nimekupata haina shida mkuu pamoja sana siwezi chukia au kasirika kwa kurekebishwa.
na kamwe sina ndoto ya kuwa kiongozi hata wa mtaa au nyumba 10 zaidi ya kuwa kiongozi wa familia tuu kama baba.

hiki nikijitatizo chamakusudi sana sababu sio kwamba kuandika hivyo hatujui matumizi ya R na L lakini huwa makusudi tuu mkuu.

ni kama watu wanavyoamua kuandika x badala ya s.

wakuu malalamiko yenu yamefika na yanafanyiwa kazi. siunajua tena mazoea hujenga tabia??

harafu thread yenyewe nilikuwa naandika wakati nipo kwenye daladala foleni ya maana hasira za kucheleweshwa mwenge stendi basi taabu tupu.

mkuu Kibo10 nimefika mkuu pamoja sana mkuu nashukuru kwakunistua juu ya hili

unapotosha tatizo la R na L kwa watu wengi tunaotoka kanda ya ziwa siyo la makusudi kama unavyotaka kuaminisha watu mfano mimi kuna maneno huwa napata tabu sana ninapofika kwenye R au L na mara nyingi huwa nauliza mtu sijui ni kwanini naieleweke siyo maneno yote yenye R na L ni baadhi...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom