Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yanapimwa mkuu ila Mush ilo lako daah sina uhakikaYn namaanish wanapima au wanafny vp ili kukupa thamn ya jiwe lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Samani =Ni neno linalo tambulisha vitu mfano wa viti , meza na kabati.Dogo ayo Ni mawe kwenye mchanga wala hayana samani yoyote katika madini kiufupi ni kokoto tuuh
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Haya sio madin bhn tyr nimefatilia kdg nipigwe mawe[emoji13][emoji14][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]
Ahsante sn[emoji1374] elimu ndg ,,,,,nayo n ishu Mimi nimefunzwa kutaft ela tuh[emoji38]Samani =Ni neno linalo tambulisha vitu mfano wa viti , meza na kabati.
Thamani=Ni neno linalo tambulisha ni kwa kiwango gani kitu kinafaa mfano madini , fedha na uhai.
《Caprichar o teu sorriso》
hahahahahhahahaha Mchaga na pesa ni kama mlokole na uzima wa milele.Haya sio madin bhn tyr nimefatilia kdg nipigwe mawe[emoji13][emoji14][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]
Sent using Jamii Forums mobile app
typing error,kwako ONI SIGLLASamani =Ni neno linalo tambulisha vitu mfano wa viti , meza na kabati.
Thamani=Ni neno linalo tambulisha ni kwa kiwango gani kitu kinafaa mfano madini , fedha na uhai.
《Caprichar o teu sorriso》