Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Ya kwaidaDuuh,. Ni WhatsApp ipi unatumia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kwaidaDuuh,. Ni WhatsApp ipi unatumia?
Ase mm sion kitu naona gizaNi kweli hata mi naona Kuna tatizo katika what's up,watwambie wahusika wa hapa bongo nini tatizo,kama wapo lkn,!!!,,
We unatumia ipHivi bado mnatumia hiyo apk😀😃😃
Ndio najua nimefanya ivyoKuboresha app yako kwa Kila toleo jipya ndio maana ya update
Nishafanya mkuuIngia playstore update app yako
Me naitumia business mbona Iko poa TUWe unatumia ip
Telegram mkuuWe unatumia ip
Telegram yenyewe inazingua kinomaaTelegram mkuu
Mm ya kawaidaMe naitumia business mbona Iko poa TU
MhTelegram mkuu
Ngoja ni update simuMbona huku mkoani iko poa kabisa. Huko dasalama kuna shida gani
unaguna mkuu hiyo app ya kitoto
Sawaunaguna mkuu hiyo app ya kitoto
kama unatumia haloteli tumia vpn mkuuSawa
Yas natumiakama unatumia haloteli tumia vpn mkuu
Camera ukiwa unapiga picha inawakawaka tu ata sijui nimegusa wapNunua simu kama bado tatizo linaedelea
Anyway backup chats zote kwenye cloud then ingia setting clear app data and cache then uninstall (dont keep any data) then re install app restore backup
Ushauri wa kununua simu mpya utakuwa bora kama simu yako ina android 10 kushuka chini au ios 16 kushuka chini
Pia hakikisha unastorage kwenye simu yako na muunganisho wa uhakika acha kutumia mitandao ya ajaub ajab kama halo
Ata situmii tecnoTekno user