Hivi Nifanye Nini Ili Uelewe Nakupenda

Jux

Senior Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
114
Reaction score
57
Nimejaribu kila njia kueleza hisia zangu kwa member wa hapa JF lakini naona mwenzangu ni kama vile haoni jitihada zangu sijui nifanye nini zaidi ya hapa, inauma sana unapompenda mtu lakini yeye mawazo yake hayapo kwake
 
What i like ni KUPENDWA,lakini KUPENDA ni KIBARUA kigumu!
 
asije akawa ni TF,utamnasa kweli TF? sijui,jaribu lakini maana kila mtu na bahati yake.
 
Nimejaribu kila njia kueleza hisia zangu kwa member wa hapa JF lakini naona mwenzangu ni kama vile haoni jitihada zangu sijui nifanye nini zaidi ya hapa, inauma sana unapompenda mtu lakini yeye mawazo yake hayapo kwake

try next one... tuko wengi banaa... mh?
 
Kwa uzoefu wangu hapa wewe ni mwanamke,kama nimekosea samahani,kwa kukusaidia kaa na ufikiri huenda njia unayotumia sio sahihi!
 
toa tangazo redioni na kwenye TV na magazetini kuwa unampenda, ila hataki kuelewa.
Labda ndo atakubali.
 
Mi nilihisi ni ww,manake harakati za kututea zinawafurahisha wamama na wadada wa humu hadi FF!
asije akawa ni TF,utamnasa kweli TF? sijui,jaribu lakini maana kila mtu na bahati yake.
 
Pole mrembo,inawezekana mwenzio ameshawahi na kukueleza kua anaemwengine anakuonea huruma kaona bora akupotezee,au huna vigezo anavyotaka,au anakuona ww matawi sana hawezi kukumiliki au mzuri sana anaogopa usije ukampa BP,au anatingisha kibiriti ,au hajui hujamwambia wazi una muonyesha ishara tu.. mueleze kilicho moyoni mwako sio mwanamme peke yake ndio awe wakwanza kukutongoza kama unampenda kweli mueleze...
 
Niambieni ni wapi nitapata mganga anayesafisha nyota, maana nahisi nina gundu... yaani sijawahi hata kutaniwa na mdada humu JF kuwa ananipenda!!! si hivi hivi, kuna kitu...
 
Kwa uzoefu wangu hapa wewe ni mwanamke,kama nimekosea samahani,kwa kukusaidia kaa na ufikiri huenda njia unayotumia sio sahihi!
Njia ipi ambayo nimekosea jamani
 
hebu tueleze ni nani tukusaidie kumueleza.........
 
Niambieni ni wapi nitapata mganga anayesafisha nyota, maana nahisi nina gundu... yaani sijawahi hata kutaniwa na mdada humu JF kuwa ananipenda!!! si hivi hivi, kuna kitu...

wakukutania wapo ila utani wao mbaya huwezi lol.
 
Hivi mtu kukuelewa ni lazima akukubali???
Hawezi kua amekuelewa na bado akakukatalia kwasababu zake binafsi???

Ukiambiwa HAPANA jua ni hapana....usimng'ang'anie mshkaji kama ruba.Kwa maana nyingine move on maana mwisho utakua unamsababishia usumbufu tu!!!!
 

Dah! kaingia anga zako nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…