Hivi nikitumia moderm 3 kwa wakati mmoja nitaongeza speed ya Mtandao?

Hivi nikitumia moderm 3 kwa wakati mmoja nitaongeza speed ya Mtandao?

Safi sana,mfano mzuri sana.
Je uoni kuwa ndoo itajaa kwa muda mfupi ukitumia taps mbili badala ya moja,je hii formula ipeleke kwenye modem
Lakini tatizo ndoo (hicho kitu unachokidownload) kipo either chumbani au sebuleni and you cant be in the same place twice.., ndio maana nikasema (nothing is impossible anything can be done) lakini hata kama tukitaka kutengeneza device ya kuweza kucombine hizi connection itakuwa vema kama hii device ikiwa nje ya computer yako, yaani hizo pipe mbili ziunganishwe into one pipe ili iingie kwenye ndoo moja (Download yetu) ama sivyo takuwa nakimbia chumbani napata maji kidogo narudi sebuleni napata maji kidogo etc.

kwahiyo from your point itakuwa vema zaidi tukiongezea na ethernet Cable na zile 56kbs modems ili tupate kasi zaidi..., alafu lazima tukumbuke kuna vitu vinaitwa Bottlenecks hata kama modem yako ni 1 Megabyte per Second huwa hatupati hiyo inakuwa ndogo kutokana na mambo mengi
 
kama lengo ni kupakua kwa haraka tumia download manager kama FDM. Zinaikatakata kitu unayopakuwa na kisha zinashusha vipande hivyo concurrently na kuviunga mwishoni. So inapunguza download time!
 
Huwezi kuongeza speed bado zinakuwa ni modem tatu tofauti zinannect kwenye kompyut kwa kutumia port tatu tofauti. na kwenye network inawezekana zinatumia channel tofauti.

Komyuta au CPU haijui kama umeunganisha mbili ili ujumlishe spidi. teh teh.

Utakachokuwa nacho hapo sana sana ni redundcacy kwamba hata nyingine moja au mbili zikikata basi moja inakuwepo. But sidhani kama ni solution.

In a worst case zinaweza hata kusababisha intereference
 
people, this dude seems doesn't know and knows not that he doesn't know. save your comments for constructive threads.
 
Naomba kuuliza :Nataka kutumia Modem 3 ya Zantel Voda na Airtel kwa mpigo
Je hii inaweza kufanya speed ya kuatach vitu au kudowload kuwa kubwa?

Asante

Usiogope kujaribu, wee tumia modem zote tatu kwa wakati mmoja kisha ufuatilie badiliko lolote la kuongezeka au kupungua kwa kasi ya kupakua au kupakia. Tunajifunza kutokana na makosa
 
kaka cjawah kuona wala kuckia yan kwa ufupi haiwezekan mana ni modem tatu tofaut na zenyewe zinatofautiana speed ya kudownload hvyo hautokuwa umefanya ki2 zaid ya kuipa komputer mzgo sawa kaka
 
Modem hata moja inaweza kukupa speed ya kutosha ila sasa inategemea upo ktk category gani ya malipo ya hiyo kampuni unayotumia,mfano data week ya airtel inakupa 3GB,Data siku 20MB,kwa ujumla mwenye data week atapata speed kubwa kuliko data siku ok?
 
kaka cjawah kuona wala kuckia yan kwa ufupi haiwezekan mana ni modem tatu tofaut na zenyewe zinatofautiana speed ya kudownload hvyo hautokuwa umefanya ki2 zaid ya kuipa komputer mzgo sawa kaka
Mh! una kazi ya kujifunza straight language. Haya mambo ya 2100, yaani unaongea kwa digit....:msela:
 
hauwezi ukatumia modem 3.because only single ip adress ndo inakutambilisha wewe katika internet.so with 3 modems,u wl hv different ips..Ip adress unaweza ukasema ni unique adress ambayo inakuwezesha wewe kuwa identified kwenye mtandao...ni kama mfano no yko ya cmu niyako peke yko.hamuwez4 mukashare da sme no al pple.. .hpe u got me
 
kaka cjawah kuona wala kuckia yan kwa ufupi haiwezekan mana ni modem tatu tofaut na zenyewe zinatofautiana speed ya kudownload hvyo hautokuwa umefanya ki2 zaid ya kuipa komputer mzgo sawa kaka

hapo nakupinga kidogo, kigezo cha wewe kama haujawahi kuona wala kusikia isiwe sababu ya kusema haiwezekani.
 
I wonder how you can do that. maana dashboard ya huawei "mobile partner" ikiwa na modems mbili za huawei inakuruhusu u-connect moja tu, na ikiwa connected ile connect button inabadilika kuwa disconnect. hata kama uta-start dashboard nyingine bado itasomeka disconnect.Au unataka kusema unatumia na ZTE modem na ile dashboard ya vodafone "mobile connect"? so una-connect ZTE na Huawei at the same time? mmmh interesting.
 
haiwezekani!u guys think..only a single modem within time.
 
Back
Top Bottom