KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Kwa muda mwingi nimekuwa nikijiuliza kwamba hivi sisi wanaume ni kwa nini tunapoenda kumtongoza mwanamke kwanini hatuendi mojakwamoja kwenye pointi?,Nilazima mwanzo mwisho ni Magumashi uongo uliopitiliza??.
Sijui kama kuna mwanaume aliwahi kutongoza mwanamke bila kumdanganya!, sijui ndiyo maana nimesema sijui lakini uzoefu unaonyesha mistari yote anayopewa mwanamke huwa ni uongo mtupu!!,baadae kwenye mahusiano kunavitu uharibu mahusiano kutokana na uongo ulioutunga ili umpate huyo mwanamke, sasa hapo kama ujaeleza ukweli wako hapo ndo ukuta mwanamke anakosa imani na wewe!!matatizo ndo uanzia hapo.Je ninyinyi wanawake usababisha tuwadanganye??kwa misimamo yenu ya sitaki nataka?
Sijui kama kuna mwanaume aliwahi kutongoza mwanamke bila kumdanganya!, sijui ndiyo maana nimesema sijui lakini uzoefu unaonyesha mistari yote anayopewa mwanamke huwa ni uongo mtupu!!,baadae kwenye mahusiano kunavitu uharibu mahusiano kutokana na uongo ulioutunga ili umpate huyo mwanamke, sasa hapo kama ujaeleza ukweli wako hapo ndo ukuta mwanamke anakosa imani na wewe!!matatizo ndo uanzia hapo.Je ninyinyi wanawake usababisha tuwadanganye??kwa misimamo yenu ya sitaki nataka?