Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto raha sana.
eti juu ya K....YAKE UNAITAJA KABISA
AISEEE
sina la kuchangia bali nina hasira umenitia genye
Habarini za mda huu wataalam wa jukwaa hili, Kwamda wa takriban mwezi1 uliopita nilikutana na demu1, nikaendanae hadi getoni kwangu nikamtongoza, baada ya kumtongoza kwamuda wakutosha akanijibu kuwa "nimekubali ila ninasiku3 tu tangu nivunje yai(yaani tangu sikuzake zipite)", wakatihuo tulikuwa tumelala kitandani, mimi nikwawa naendelea kumpapasa mwiliwake, nanilikuwa nimelala juu ya tumbo lake nakumvua sketi akawa amebaki na chupi tu, baada ya kumpapasa kwamda wakutosha,nikajikuta nimeachia mzigo(nyege),mzigo huo nimeutoa juu ya chupi lakini nikwenye maeneo ya **** lake. Hivi leo ananiambia umenipa mimba, naombeni ushauri wenu nikweli jambo kamahilo linaweza kutokea?
hichi kijiwe tu kula papuchi ni ulipopeleka MATUMIZI
HAPA STORY TU KULA KILA MTU KWAO
dont take it personal
tatizo nini kwani ??
Nami niunganishie swali langu hapa.girlfriend wangu.nimefanya nae siku ya saba tangu atoke mp na mzunguko wake ni siku 28 je anaweza pata mimba?
hahahapole sana ila dawa yako ninayo.
shika kalamu
kama demu wako ana mzunguko wa 28 days
kuanzia siku ya 1 mpaka siku ya 6 ni hedhi
kuanzia siku ya 11 mpaka siku ya 17 kuna uwezekano wa fertlization ikafanyika
haswa siku ya 13 mpaka 15 ambazo ni siku yai linatolewa
kutoka siku ya 17 mpaka siku ya 28 no damu no nini mpaka siku utakapoona tena damu ndo siku ya kwanza ya mzunguko in next month
sasa kama ulipiga pmb siku ya 11 sperms zinaweza kuwa active mpaka siku ya 13 ambapo yai litatolewa na kurutubishwa
na pia kama ulipiga pmb siku ya 16 kuna uqezekano yai bado likawa active kama limetolewa siku ya 15
kwa mchoro ningekuelekeza vizuri NJOO GETO
Masai dada ebu kuwa straight kidogo.alianza tarehe 12 ijumaa dec.akamaliza after 3 days bleed.mi kwangu amekuja tarehe 18 tumekaa nae mpaka 21 jumapili.je hapo anaweza pata ujauzito.coz analalamika kuwa anajisikia tofauti
Kula kona, utabambikizwa mzigo sio wako! Okey, kiukweli inawezekana ila chances ni ndogo sana.
unishughurikie mimi ni ri jambazi???
unishughurikie mimi ni ri jambazi???
Hahahaa, kila mmoja kapata jibu lake teh, next pliiiz
Habarini za mda huu wataalam wa jukwaa hili, Kwamda wa takriban mwezi1 uliopita nilikutana na demu1, nikaendanae hadi getoni kwangu nikamtongoza, baada ya kumtongoza kwamuda wakutosha akanijibu kuwa "nimekubali ila ninasiku3 tu tangu nivunje yai(yaani tangu sikuzake zipite)", wakatihuo tulikuwa tumelala kitandani, mimi nikwawa naendelea kumpapasa mwiliwake, nanilikuwa nimelala juu ya tumbo lake nakumvua sketi akawa amebaki na chupi tu, baada ya kumpapasa kwamda wakutosha,nikajikuta nimeachia mzigo(nyege),mzigo huo nimeutoa juu ya chupi lakini nikwenye maeneo ya **** lake. Hivi leo ananiambia umenipa mimba, naombeni ushauri wenu nikweli jambo kamahilo linaweza kutokea?
Nakuwa Nazitoa Hzo Zote Zilizokushika
okey
tarehe 12 hesabu kama siku ya kwanza katika mzunguko wa 28 days
akamaliza 3 days later..ina maana kamaliza tarehe 14
kwako kaja tarehe 18..hivyo mkachezeana wee mpaka 21
haya anza kuhesabu
12=1
13=2
14=3
15=4
16=7
17=8
18=9
19=10
20=11
21=12
Mkuu kuanzia siku ya 11 mpaka siku ya 17 tunaziita fertile period yaaani yai huweza kurutubishwa kama hapo juu nilivyosema
umelala siku ya 12 yai limetolewa siku ya 13 sperms zinakaa masaa 74 active HIVYO YAI LIMERUTUBISHWA
MKUU JIANDAE KUNUA BESENI LA MTOTO
nategemea swali linalofuata ni wapi maduka ya vifaa vya watoto yalipo hapa mjini