Hivi nikweli kuwa mwanamke anaweza kupata mimba kwadizain hii

Hivi nikweli kuwa mwanamke anaweza kupata mimba kwadizain hii

okey
tarehe 12 hesabu kama siku ya kwanza katika mzunguko wa 28 days
akamaliza 3 days later..ina maana kamaliza tarehe 14
kwako kaja tarehe 18..hivyo mkachezeana wee mpaka 21

haya anza kuhesabu
12=1
13=2
14=3
15=4
16=7
17=8
18=9
19=10
20=11
21=12

Mkuu kuanzia siku ya 11 mpaka siku ya 17 tunaziita fertile period yaaani yai huweza kurutubishwa kama hapo juu nilivyosema
umelala siku ya 12 yai limetolewa siku ya 13 sperms zinakaa masaa 74 active HIVYO YAI LIMERUTUBISHWA

MKUU JIANDAE KUNUA BESENI LA MTOTO
nategemea swali linalofuata ni wapi maduka ya vifaa vya watoto yalipo hapa mjini

au akuulize doctor bingwa wa kutoa mimba anapatikana wapi.
 
Habarini za mda huu wataalam wa jukwaa hili, Kwamda wa takriban mwezi1 uliopita nilikutana na demu1, nikaendanae hadi getoni kwangu nikamtongoza, baada ya kumtongoza kwamuda wakutosha akanijibu kuwa "nimekubali ila ninasiku3 tu tangu nivunje yai(yaani tangu sikuzake zipite)", wakatihuo tulikuwa tumelala kitandani, mimi nikwawa naendelea kumpapasa mwiliwake, nanilikuwa nimelala juu ya tumbo lake nakumvua sketi akawa amebaki na chupi tu, baada ya kumpapasa kwamda wakutosha,nikajikuta nimeachia mzigo(nyege),mzigo huo nimeutoa juu ya chupi lakini nikwenye maeneo ya **** lake. Hivi leo ananiambia umenipa mimba, naombeni ushauri wenu nikweli jambo kamahilo linaweza kutokea?

"NYEGE"??? Kuna tofauti Kubwa kati ya nyege na shahawa.
 
Iko wazi mtu anapouliza hutaka kufaham tu kiongozi kwani kuna tatizo mkuu...?.

Mimi sina tatizo ila nataka kujua kama nikitu kinaweza kutokea.
 
shika kalamu

kama demu wako ana mzunguko wa 28 days

kuanzia siku ya 1 mpaka siku ya 6 ni hedhi
kuanzia siku ya 11 mpaka siku ya 17 kuna uwezekano wa fertlization ikafanyika
haswa siku ya 13 mpaka 15 ambazo ni siku yai linatolewa

kutoka siku ya 17 mpaka siku ya 28 no damu no nini mpaka siku utakapoona tena damu ndo siku ya kwanza ya mzunguko in next month

sasa kama ulipiga pmb siku ya 11 sperms zinaweza kuwa active mpaka siku ya 13 ambapo yai litatolewa na kurutubishwa
na pia kama ulipiga pmb siku ya 16 kuna uqezekano yai bado likawa active kama limetolewa siku ya 15

kwa mchoro ningekuelekeza vizuri NJOO GETO

MOLAM pia chek this muulize demu wako je siku mnapiga mambo alikua siku ya ngapi au uwenda akawa kasahau ndo maana hii nja sio nzuri kwenda kavu

MAANA NAJUA ULISOGEZA CHUPPI UKAPIGISHA KIDOGO.

hahaaaaaaa! Hapana huo ndoukweli kwamba cjasogeza hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
hivi inakuaje kwa mfano mtu una mpnz wako afu mnagombana mara kwa mara halafu hata kama una hasira ye anataka mfanye huku mmegombana yani imefikia point mmekwazana na mmeafiki kuachana unamuomba akuletee vitu vyako uliviacha kwake anakubali kuleta then baada ya kukuona tu badala akupe mzigo wako ye anadindisha dudu lake na kuanza kukulazimisha mfanye mapenzi kwa nguvu huku ukiwa na hasira bado..huyu mtu anakua kakuchukuliaje
 
shika kalamu

kama demu wako ana mzunguko wa 28 days

kuanzia siku ya 1 mpaka siku ya 6 ni hedhi
kuanzia siku ya 11 mpaka siku ya 17 kuna uwezekano wa fertlization ikafanyika
haswa siku ya 13 mpaka 15 ambazo ni siku yai linatolewa

kutoka siku ya 17 mpaka siku ya 28 no damu no nini mpaka siku utakapoona tena damu ndo siku ya kwanza ya mzunguko in next month

sasa kama ulipiga pmb siku ya 11 sperms zinaweza kuwa active mpaka siku ya 13 ambapo yai litatolewa na kurutubishwa
na pia kama ulipiga pmb siku ya 16 kuna uqezekano yai bado likawa active kama limetolewa siku ya 15

kwa mchoro ningekuelekeza vizuri NJOO GETO

MOLAM pia chek this muulize demu wako je siku mnapiga mambo alikua siku ya ngapi au uwenda akawa kasahau ndo maana hii nja sio nzuri kwenda kavu

MAANA NAJUA ULISOGEZA CHUPPI UKAPIGISHA KIDOGO.

Umetoa shule mwanana bibie.....
Ovulation inatokea siku ya 14 ya mzunguko na kiwastani mbegu za kiume zinaweza kusurvive wastani wa masaa 72 hivyo unarudisha nyuma siku 3.
Ila pia yao likipevuka linaweza kukaa masaa 48 , hivyo ukipiga pumbu siku mbili mbele atapata mimba.
Hiyo tu kwa kuongezea.
 
Last edited by a moderator:
okey
tarehe 12 hesabu kama siku ya kwanza katika mzunguko wa 28 days
akamaliza 3 days later..ina maana kamaliza tarehe 14
kwako kaja tarehe 18..hivyo mkachezeana wee mpaka 21

haya anza kuhesabu
12=1
13=2
14=3
15=4
16=5
17=6
18=7
19=08
20=09
21=10
22=11
23=12
24=13
Mkuu kuanzia siku ya 11 mpaka siku ya 17 tunaziita fertile period yaaani yai huweza kurutubishwa kama hapo juu nilivyosema
umelala siku ya 12 yai limetolewa siku ya 13 sperms zinakaa masaa 74 active HIVYO YAI LIMERUTUBISHWA

MKUU JIANDAE KUNUA BESENI LA MTOTO
nategemea swali linalofuata ni wapi maduka ya vifaa vya watoto yalipo hapa mjini
Conclusion yako na maelezo vimetofautiana bibie.....
Huyo hawezi kupata mimba.
 
Habarini za mda huu wataalam wa jukwaa hili, Kwamda wa takriban mwezi1 uliopita nilikutana na demu1, nikaendanae hadi getoni kwangu nikamtongoza, baada ya kumtongoza kwamuda wakutosha akanijibu kuwa "nimekubali ila ninasiku3 tu tangu nivunje yai(yaani tangu sikuzake zipite)", wakatihuo tulikuwa tumelala kitandani, mimi nikwawa naendelea kumpapasa mwiliwake, nanilikuwa nimelala juu ya tumbo lake nakumvua sketi akawa amebaki na chupi tu, baada ya kumpapasa kwamda wakutosha,nikajikuta nimeachia mzigo(nyege),mzigo huo nimeutoa juu ya chupi lakini nikwenye maeneo ya **** lake. Hivi leo ananiambia umenipa mimba, naombeni ushauri wenu nikweli jambo kamahilo linaweza kutokea?

hiyo 100% pasipo na shaka inawezekana kama yupo kwenye siku zake
 
Hivi ikitokea mwanaume akaongea maneno kama haya hapa chini.




Mbona sioni wanawake wakijitokeza kama hawa walivyofanya hapa chini...?.













Nimejiuliza maswali kadha wa kadha ni nini haswa ;-

i ).Ni umalaya ?.

ii ).Ni U - Domo zege ?.

iii ).Ni Ushamba wa K ?.

iv ).Ni Hulka ya Mtu ?.

v ).Hawaja-sex muda mref ?.

vi ).All



!
!
ni katika kunogesha sredi tu mkuu, nothing more nothing less.
 
Back
Top Bottom