Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na logistics mbovu, jeshi la Urusi wakikosa miondombinu ya reli wanakuwa kama Samaki nchi kavu.Shida ya Russia sio silaha, tactics Wala wanajeshi Bali ni command line na Rushwa kutapakaa
Thibitisha kwamba Putin kaangukia puaWengi mnakumbuka hii amri ya Putin alipowaamrisha wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe, leo hii mzee wa watu hata kulala ni shida maana drones zinapaa juu ya kichwa chake kama mbu....
![]()
Mbolea yake Kenya mmeitia kwapani[emoji38]Tena kaanguka kwa kishindoooo!!!
Mbolea yake Kenya mmeitia kwapani[emoji38]View attachment 2611725
.Putin nilikua namuelewa sana kipindi alikua anatembeza kichapo kwa wale magaidi wa dini yenu, ila sijui nini kilimuingia akaja kuchanganyikiwa.
Walimshikisha adabu wachechnia,waliuteka ukumbi wa starehe ndani ya Urusi,akaona isiwe tabu akakaa nao mezani.Hehehe mlivyo sasa, hapo najua baada ya jamaa kuvaa mavitu ya kiarabu mumeingiwa na mzuka sana wa kumshobokea...
Anway huyu hapa sijui alikengekia wapi, aliwafundisha sana adabu...
![]()
Walimshikisha adabu wachechnia,waliuteka ukumbi wa starehe ndani ya Urusi,akaona isiwe tabu akakaa nao mezani.
Ushajiuliza Kwa Nini kwenye mishe zake anawahitaji sana waislam?
View attachment 2611822
NakubaliShida ya Russia sio silaha, tactics Wala wanajeshi Bali ni command line na Rushwa kutapakaa
Umeongea kikachero sana. Au we mwenzangu nini?Shida ya Russia sio silaha, tactics Wala wanajeshi Bali ni command line na Rushwa kutapakaa