MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
kilichomkuta ni kuwa badala ya yeye kuwa tajili mkubwa kuna mjanja flan alimtumia vema na huyo jamaa leo ni bonge la don hapa town hadi akabadili radio station yake tika jina la kiswahili na ikawa jina la kizungu na ndiye don ambae ukigombana nae kama ww mwanamuziki ujue ndo mwsho wako kimuziki!,dada komando wa plado alishituka akakimbia ila nae kamuwekea vizuizi vya kimuziki na maisha....jina simjui lakn
Ukifikiria tu kuwa nyimbo alikuwa anatunga na kuimba yeye lakini hazikuwa zake bali za meneja wake utaelewa zaidi nini kilimkuta mfano swala la Diamond kurudia wimbo wa Salome.
Kapumzika au kachoka na muziki maana mpaka kesho akitoa nyimbo inakuwa sio yake ni ya meneja wake na yeye aambulii chochoteDada ameamua kupumzika kimziki jamani. Muacheni
Mzee Mutta alikuwa amiliki wa Fm Studio miaka ile...Kwanini jamani?
Meneja wake Saida ni nani???
Ndo maana wasanii wanasisitiziwa elimu hawataki.Kapumzika au kachoka na muziki maana mpaka kesho akitoa nyimbo inakuwa sio yake ni ya meneja wake na yeye aambulii chochote
Msiwe mnaongea vitu msivyovijua, ukiendelea hivi ipo siku utakalia kitu cha ncha kalikilichomkuta ni kuwa badala ya yeye kuwa tajili mkubwa kuna mjanja flan alimtumia vema na huyo jamaa leo ni bonge la don hapa town hadi akabadili radio station yake tika jina la kiswahili na ikawa jina la kizungu na ndiye don ambae ukigombana nae kama ww mwanamuziki ujue ndo mwsho wako kimuziki!,dada komando wa plado alishituka akakimbia ila nae kamuwekea vizuizi vya kimuziki na maisha....jina simjui lakn
Elimu ni tofauti na kipaji mkuu wengi wenye vipaji hawakujaliwa kuwa na elimu kubwa mkuu..Ndo maana wasanii wanasisitiziwa elimu hawataki.
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhh ni shidaaaaaaaaaaaaaahElimu ni tofauti na kipaji mkuu wengi wenye vipaji hawakujaliwa kuwa na elimu kubwa mkuu..
Diamond hana elimu kubwa kushinda Wakina Ben Pol,One incredible na wasanii wengine Kibao.
Kikubwa kinachotakiwa ni kujitambuwa na kujua unataka nini...uwe mjanja kwenye mikataba maana mikataba inaandikwa kwa lugha mama.
Na hata kama lugha inayotumika huijui kuna wanasheria kibao na Ofisi zao mitaani Tumia hao.
na hili swala la mikataba halipo kwenye muziki tu leo wakina Ibrahim Ajib wanalipwa mishahara midogo kuliko wachezaji wa kigeni wakati kiuhalishia wao ndio wanastahili mamilioni jinsi wanavyojitoa kwenye team kuliko wageni