Elimu ni tofauti na kipaji mkuu wengi wenye vipaji hawakujaliwa kuwa na elimu kubwa mkuu..
Diamond hana elimu kubwa kushinda Wakina Ben Pol,One incredible na wasanii wengine Kibao.
Kikubwa kinachotakiwa ni kujitambuwa na kujua unataka nini...uwe mjanja kwenye mikataba maana mikataba inaandikwa kwa lugha mama.
Na hata kama lugha inayotumika huijui kuna wanasheria kibao na Ofisi zao mitaani Tumia hao.
na hili swala la mikataba halipo kwenye muziki tu leo wakina Ibrahim Ajib wanalipwa mishahara midogo kuliko wachezaji wa kigeni wakati kiuhalishia wao ndio wanastahili mamilioni jinsi wanavyojitoa kwenye team kuliko wageni