Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Simba mchukueni Saido awasaidie! Mtuachie Yanga yetu!Yanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga...
Sisi tumemsajiri kama beki hayo maoni yako baki nayoNa hayo mawili naskia alifunga baada ya mpira kumgonga
[emoji23][emoji23][emoji23]Na hayo mawili naskia alifunga baada ya mpira kumgonga
Tuanzie kwanza kwa kuhoji, je Saidoo angepata namba kwenye kikosi cha Kaizer Chief?Yanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga...
Morrison na ntiba na mkali[emoji41]Simba wamtambulishe Ntibanzokiza fastaaaa
Hoja Yako inamantiki ukiiangalia kwa haraka haraka. Ila ukituliza akili utaona Saido na Yanga walishindwa kukubaliana terms za mkataba mpya.Yanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga...
Wakati fulani tunatakiwa kuheshimu benchi la ufundi. Hata msimu kuanza bado! Tayari mmeshaanza maneno. Huyo Kambole hajacheza hata mechi moja, tayari unamsema!Yanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga...
Endeleeni kujadili yasiyowahusu aafu mwisho wa msimu mseme Yanga inabebwa.Yanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga...
[emoji38][emoji38][emoji38]Yanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga.
Hivi kweli unamuacha Ntibazonkiza unakwenda kumsajili Kambole, kama sio upigaji msimu wa usajili ni nini, yaani upande ndege ukamsaini mtu aliyefunga mabao 2 mechi 46, kweli.
Hivi Makambo ni mbovu kiasi cha kumleta Kambole kweli, kweli, kweli, kweli, kwamba Kambole awapeleke makundi, huyo Kambole mbona kama Chico Ushindi tu.
Huna unachofahamu kuhusu npira basi nyamaza tuYanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga...
hiyo class ndio 2 yrs na goli 2? hiyo ni rejectKwenye football kuna CLASS(Permanent) na FORM( temporary) kambole ni mchezaji wa CLASS kubwa aliye ktk form mbovu
Umbeya mwingine bwana yani sielewi Makolo mnahangaika nn na usajili wa Yanga. Huyu Kambole awe mzuri au mbaya anakuhusu nn wewe? Acheni umbeya subiri ligi ianze ndiyo utamjua vizuri hata Saido Ntibazonkiza na wengineo wote mliwajua vizuri baada ya kuja Yanga.Tunakumbuka msimu huu mlibeza sana usajili wa Yanga Mara Aucho hafahi Mara Djuma Shabani hafahi ni majeruhi sana kiwango kiko chini mara Yanick Bangala hafahi si mzuri yani kila usajili wa Yanga ulibezwa na wenyewe Makolo mkajinasibu kwamba usajili wenu ni mzuri sana kwa sababu mnashiriki kimataifa mtakumbuka miaka minne yote ya kushiriki kwenu klabu bingwa mnasajili lakini mpaka leo timu bovu na bado mnaendelea kusajili mchezaji akiwafunga au kuwapiga chenga mnasajili Banda,Chikwende na wengineo leo mnaona mmekusanya mizoga. Kuna msemo usemao Ya Ngoswe muachie Ngoswe hivyo mambo ya Yanga yasiwaumize waachieni wenye Yanga yao angaikeni na lisimba lenu vinginevyo waswahili wanasema huo ni Umbeya na ushakunaku.Umbeya kama mwanamke wa kizaramo ambaye hajafundwa.Mtakoma yani ni back to back msimu kwa msimu mtafukuzana na kusajili mpaka mkome.Makolo kwisha habari yenu mmebakia kupiga umbeya tu.Hovyo kabisaaaaaYanga imemsajili striker lazaro kambole akitokea kaizer Chiefs, mshambuliaji huyo amecheza mechi 46 lkn kafunga mabao 2 tu msimu mzima, wakati Ntibazonkiza amefunga mabao 7 hadi anaachana na yanga.
Hivi kweli unamuacha Ntibazonkiza unakwenda kumsajili Kambole, kama sio upigaji msimu wa usajili ni nini, yaani upande ndege ukamsaini mtu aliyefunga mabao 2 mechi 46, kweli.
Hivi Makambo ni mbovu kiasi cha kumleta Kambole kweli, kweli, kweli, kweli, kwamba Kambole awapeleke makundi, huyo Kambole mbona kama Chico Ushindi tu.