Huyo ndo baba mtoto hasa...na huyo ndo binti yetu!
Vingine endelea kumsubiria Kongosho lol!
Wataka kupelekwa wapi Sweetlady mbona wapelekaji wapo wengi au tuseme hawajachangamka!Daah! Mmeamua kuninyanyasa au?..
Duh hizi avatar na majina zinachanganya sana.. Sikujua kama Jinsia yako ni ...Hahahaaa unanipoka Ngabu kweupe hivi, aisee sio rahisi hata kidogo!
A lot of "efforts"?
Sounds broken to me.
A lot.
Kumbe unapenda madaraka thats why?
Nani kakupa huo Urais?
Hahahaha. . . watu mna kazi kweli. Mpaka tume umemuundia?Huna shughuli nyingine ya kufanya?Mkuu usimshangae huyu jamaa kuna wakati alishawahi kukiri kama kuna watu wanamuhisi shoga humu jamvini!mpaka leo sijaelewa kwanini ahisi watu wanamuhisi shoga!!!nimeunda tume ntakuja na majibu ila nahisi ana hulka tatanishi!
Hahahaha. . . watu mna kazi kweli. Mpaka tume umemuundia?Huna shughuli nyingine ya kufanya?
Moja ya njia ya kuongeza ajira dadangu!vijana walianza alipokulia mpaka sekondari aliyosoma na data zingine wanakusanya anapoishi sasa na pia wanapitia baadhi ya posts zake!!!wakimaliza hii tume itaundwa kwaajili ya malaria sugu!
Mhn!Sijawahi kuwa na taarifa hizi.Mkuu usimshangae huyu jamaa kuna wakati alishawahi kukiri kama kuna watu wanamuhisi shoga humu jamvini!mpaka leo sijaelewa kwanini ahisi watu wanamuhisi shoga!!!nimeunda tume ntakuja na majibu ila nahisi ana hulka tatanishi!
Watanzania kwa kupeana sifa za kijinga.Ndio maana wakamchagua rais kwa kuambiwa sifa yake kuu ni Handsome.
Kweli JF ni zaidi ya social netiweki....
Hapa ni chit chat na si kampeni za uraisi!
Hata mimi nipo Chit chat ...badae ndio nitahamia kwenye mambo ya kikubwa gidha likiingia...bado mapema ngoja nipotedhe muda humu.
Hewala Mwakalinga.Hata mimi nipo Chit chat ...badae ndio nitahamia kwenye mambo ya kikubwa gidha likiingia...bado mapema ngoja nipotedhe muda humu.
Natumaini unamalizia weekend vyema, sio chit chat tu....
Naomba unieleweshe jinsia yako
Siku nyingine ili ku neutralize wivu, na wewe jianzishie uzi ujifagilie uone wangapi tutashoboka!Watanzania kwa kupeana sifa za kijinga.Ndio maana wakamchagua rais kwa kuambiwa sifa yake kuu ni Handsome.
Kweli JF ni zaidi ya social netiweki....
Utakavyoipenda wewe!...Kwani huoni mwandiko !
Siku nyingine ili ku neutralize wivu, na wewe jianzishie uzi ujifagilie uone wangapi tutashoboka!