Hivi Nyani Ngabu anafanya kazi ubalozini?

ndugu yangu jmushi acha uchokozi!, Akikushukia usije kumlilia mode kama jana!
Lol! hivi ilikuwa jana?

Siwezi kumshukia mtu nsiyemwona bana, itanisadia nini?

Ntakuwa kaa napigana na keyboard, ya kaz gani?

Ilikuwa swali tu, unless ni self proclaimed.
 
Siku nyengine unatakiwa kutoa sifa majsusi sio za jumla jumla
Aah Gee alipaswa kujua namzungumzia yeye bana...!

Asante kwa maujanja, siku nyengine reference zitakuwa moja kwa moja kwake! Ila kwa sasa nifikirie...lol!
 
halafu si nilishakwambia yale mang'ombe yako mashoga yananimalizia mapouuuda. Njo uwachukue.

Khaaaaaa! wari wa siku hizi bana! nazani wanahitaji kipengele chao kwenye katiba mpya.
 
Nakuripoti kwa Paw.
Anza na Gee ndo amesababisha, atasemaje wee umezeeka!!?
Hivi kweli wewe ndo unisababishie ban ya kwanza humu JF?
Ohoo....Paw akinipiga ban na mi naku ban wewe!
 
Ngabu the president,nakuimagine na box mgongoni.dah!
 
Hao kwa kweli sina uhakika. Kwani huna prospectus ya miaka ya 90 hapo ulipo?

Ila nahisi labda sanaa, uchumu, au takwimu. Au mtafute Kuhunga umuulize lol

Hivi Kuhunga aliachana na Doris baada ya kwenda India??
 

ndetichia like this post..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…