Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Naona Rais anashuka jukwaani baada ya hotuba, na maswali ya papo kwa hapo kwa takribani masaa 3.
Baada ya hapo kutakuwa na dhifa pale ikulu ndogo ya Ikungu.
Waalikwa mfike na vitambulisho vyenu.
Namuona, komba wa wabeba mabox anaanzisha wimbo wa kumtoa raisi jukwaani
Baba baba baba
baba huyo 4X
Baada ya hapo kutakuwa na dhifa pale ikulu ndogo ya Ikungu.
Waalikwa mfike na vitambulisho vyenu.
Namuona, komba wa wabeba mabox anaanzisha wimbo wa kumtoa raisi jukwaani
Baba baba baba
baba huyo 4X