Hivi Nyani Ngabu anafanya kazi ubalozini?

Hivi Nyani Ngabu anafanya kazi ubalozini?

Lakini Ngabu sr. hakuwa huko kwenye idara ya Isimu bana....yeye alikuwa kwingine kabisa ingawa ni mshikaji wake na Batibo.....unamjua huyo?

Najua unamjua Ngabu sr. ila tu sitakwambia. lol

Ngabu Sr alikuwa besti na Mbughuni pia?
 
Batibo nampata, nilikuwa nammaindi sana binti yake kabla hawajakimbilia Botswana enzi zile, hata nafasi ya kumuambia sikupata!

Afadhali hukumharibu binti wa watu manake wewe ulizidi kwa uharibifu bana
 
Lakini Ngabu sr. hakuwa huko kwenye idara ya Isimu bana....yeye alikuwa kwingine kabisa ingawa ni mshikaji wake na Batibo.....unamjua huyo?

Najua unamjua Ngabu sr. ila tu sitakwambia. lol

Hivi Kezilahabi na Msambichaka walikuwa idara gani?
 
Hivi Kezilahabi na Msambichaka walikuwa idara gani?

Hao kwa kweli sina uhakika. Kwani huna prospectus ya miaka ya 90 hapo ulipo?

Ila nahisi labda sanaa, uchumu, au takwimu. Au mtafute Kuhunga umuulize lol
 
Back
Top Bottom