Hivi nyie mabinti mnaodate na wazee mko timamu kweli!?

Hivi nyie mabinti mnaodate na wazee mko timamu kweli!?

Binti miaka 21+ uko na mzee 70+ unamuita mpenzi, unamruhusu kabisa achezee mwili wako?, ni mapenzi au unasaka hela, umaarufu, unakomoa au ndo maisha yamekua ivo?
Imenibidi niombe kujuzwa kotoka kwenu kupitia huku Jf kwa wakubwa, maana huku mtaani kwetu imekua kama fashion mabinti kutoka na baba zetu.
Wenyewe wanadai eti wazee wanahonga sana yaani wanajua kuhudumia na pia hawana mashuti ya mbali yaani Wanapiga mokotoila inatosha.. Sio vijana mnapaniaaa... Kutwa kunywa michuzi ya pweza.
 
Binti miaka 21+ uko na mzee 70+ unamuita mpenzi, unamruhusu kabisa achezee mwili wako?, ni mapenzi au unasaka hela, umaarufu, unakomoa au ndo maisha yamekua ivo?
Imenibidi niombe kujuzwa kotoka kwenu kupitia huku Jf kwa wakubwa, maana huku mtaani kwetu imekua kama fashion mabinti kutoka na baba zetu.
Hela ndugu kama huna wazee watachukua
 
Fuga hela na fuga dudu lako mkuu..mwanamke akishavunja ungo tu ujue yupo tyr kwa kuingiliwa awe mzee awe awe kijana awe mtu mzima kikubwa awe mwanaume...ni maneno yako tu...nawajua wazee maskini huku uswahili na wanawake vigoli kbs sasa kwa wewe kwakua unapenda vitu vzr zaid bas fuga na hela
 
Mimi niko na 35 lakini na bariz na manzi iko na 49 years old haiko na tatizo kwa bhatu !!
 
cku hiz vjana wengi wana hit and run ndo mana wanajibebisha kwa wazeee coz wana busara na mapenzi ya kweliiii...... ila na hela pia wazeee sio wabahili kama sisi......we mpe hela utaona tu
 
Binti miaka 21+ uko na mzee 70+ unamuita mpenzi, unamruhusu kabisa achezee mwili wako?, ni mapenzi au unasaka hela, umaarufu, unakomoa au ndo maisha yamekua ivo?
Imenibidi niombe kujuzwa kotoka kwenu kupitia huku Jf kwa wakubwa, maana huku mtaani kwetu imekua kama fashion mabinti kutoka na baba zetu.
Hahaha
 
cku hiz vjana wengi wana hit and run ndo mana wanajibebisha kwa wazeee coz wana busara na mapenzi ya kweliiii...... ila na hela pia wazeee sio wabahili kama sisi......we mpe hela utaona tu
 
Back
Top Bottom