Hivi nyie wadada wa JF wazamani mpo kweli? Nimewamiss sana hata Leo tupo hapa irudi tu hamna namna

mademu wote niliowapata humu siwaoni siku hizi...au mmebadili IDs?
 
Demiss ni mwanaume

Miss Chagga ni mwanamke
 
Wapo ila wengi wana id mpya kuanzia 2016 mwishoi na 2017 wamekuja na IDs mpya..uzuri wanatambulika kwa uandishi wao mara nyingi huwa wanajisahau..
Jasiri haachi asiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…