Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?

Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?

Mkuu why umejiita "put in"

Put what ??[emoji16][emoji16]
 
Na wewe ulishaona [emoji849]
.
9a1a5fd5809ad48ae12e52333f9e9900.jpeg
 
Bro training ya hii vitu ni wapi?? Naataka na ile ya kuwapaka mafuta mapajani.

Vyeti tunapiga kibirit kabisa
Piga kibiriti..Mi nilishavichoma tangu nianze biashara ya vifuniko..

Training tunaanzia kwa wake zetu..Haina haja ya kupoteza pesa..

Yeah..Tufungue na Massage center
 
Back
Top Bottom