Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?

Mkuu why umejiita "put in"

Put what ??[emoji16][emoji16]
 
Bro training ya hii vitu ni wapi?? Naataka na ile ya kuwapaka mafuta mapajani.

Vyeti tunapiga kibirit kabisa
Piga kibiriti..Mi nilishavichoma tangu nianze biashara ya vifuniko..

Training tunaanzia kwa wake zetu..Haina haja ya kupoteza pesa..

Yeah..Tufungue na Massage center
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…