Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumfanyie fisibilite stadi aiseeSem huyu bujibuji anaonekana mzizi sana duuuh kila mada y mpenz lazm awepo
Sent from my TECNO BC2 using JamiiForums mobile app
Hawaji kujibu, hata ukiwaita kwa majina ukianzia na Yule gwiji lao Kasie, Miss Natafuta , Miss aishi Miss b75 , miss chagga ,miss fortune , miss chuga ,Miss Buha , miss chabe , Miss Chaupele , Miss Cherry , Miss Chipupwe , Mis powers , Miss Mbeya nkMimi nilliwahi kujiuliza huo ujasiri wa kumuuita Mungu Kati Kati ya kiini Cha dhambi wanaupata wapi sijawahi kupata jibu, labda leo tunaweza kupata kupitia uzi huu.
MnaponyanduanaTunaonyadua kimya kimya tunacomment wapi?
Nao ni watakatifu?Huu uzi unapoelekea, kama nahisi harufu ya mods hapa 😀😀😀
HahahhahahaMnaponyanduana
Hawa mamiss uliowataja ni wengi kichizi unauhakika ni mamiss wote sio mabonge wenye vitambi?Hawaji kujibu, hata ukiwaita kwa majina ukianzia na Yule gwiji lao Kasie, Miss Natafuta , Miss aishi Miss b75 , miss chagga ,miss fortune , miss chuga ,Miss Buha , miss chabe , Miss Chaupele , Miss Cherry , Miss Chipupwe , Mis powers , Miss Mbeya nk
Duhutasikia "tawanya hyo kitu kama bahari kwa fimbo ya musa"
Kwani miss ni mtu asiye na kitambi na wowowo?Hawa mamiss uliowataja ni wengi kichizi unauhakika ni mamiss wote sio mabonge wenye vitambi?
Parish workerMkuu,Umemnyandua mama mchungaji ?
Demu wangu wa Kisarawe Msanga Zilala anawekaga KaswidaNa wengine wanaweka nyimbo za dini huku tendo likiendelea
Pwani wanaweka sana KaswidaNa wengine wanaweka nyimbo za dini huku tendo likiendelea
Zifute na zenyewe umesha zisomaNilichotaka kuandika nimefuta.. ngoja nisome comments tu.
Bhojhikho ng'wakaNilikuwa napita tu.
Wa kwangu huwa ananitaja mie tu no more