figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Ulikuwa ukijisikiaje ukila?We figganigga, umenikumbusha wakat nasomea Upadri nchini Uholanzi (1999 - 2004).
Ebana masista wa pale Amsterdam Cathedral walikua wanatengenezea mipiza mitamu hiyo... Unaweza kufa.
kwanini ulisomea upadri..?We figganigga, umenikumbusha wakat nasomea Upadri nchini Uholanzi (1999 - 2004).
Ebana masista wa pale Amsterdam Cathedral walikua wanatengenezea mipiza mitamu hiyo... Unaweza kufa.
kwanini ulisomea upadri..?
Padri wewe unachekesha hadi unakazia Uzi kwa kusema EBANA [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yaani umekosea sana kusema wewe ni padri.We figganigga, umenikumbusha wakat nasomea Upadri nchini Uholanzi (1999 - 2004).
Ebana masista wa pale Amsterdam Cathedral walikua wanatengenezea mipiza mitamu hiyo... Unaweza kufa.
wanaume wa dar wakijadili misosi yao!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
kwani ndani ya mada ni wapi.?Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu swali nje ya mada
tehe tehe tehewanaume wa dar wakijadili misosi yao!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio maana wakipiga kimoja wanakoroma halaf wanakuja kutusumbua huku mwanamke wngu ananisalitiwanaume wa dar wakijadili misosi yao!![emoji23] [emoji23] [emoji23]