Hivi nyie watu, nini kinawafanya Mpende Pizza? sitaki hata kusikia

Hivi nyie watu, nini kinawafanya Mpende Pizza? sitaki hata kusikia

Hiyo ni misosi ya Wazungu.
Sisi Wanaume wa Dar tunakula embe kwa chumvi na limao. Chipsi zege, Mahindi ya kuchoma na pilipili, mchicha wa bonde la msimbazi, pweza na chachandu, ngisi, supu ya maharage na chapatti nk.

Karibu D'aslam......Huku Viongozi wako wakuu ndipo wanapoishi.
Hujawahi kuona kwenye tafrija zetu tunakunywa juice kwa pipi?

Kalaghabaho
supu ya mapupu
 
Sipendi kabisa kusikia upuuzi huo eti pizza pizza kwenda kula nakutana na chapati zilichomwa bila mafuta na ujinga gani sijui wameupaka kwa juu. Alafu kale kamuhudumu kananibania pua eti elfu 10 tu kaka,
 
Sipendi kabisa kusikia upuuzi huo eti pizza pizza kwenda kula nakutana na chapati zilichomwa bila mafuta na ujinga gani sijui wameupaka kwa juu. Alafu kale kamuhudumu kananibania pua eti elfu 10 tu kaka,
umeona eeh.. Chapati kama kaukau. Mkuu wapi wanauza Elfu kumi? dar huwa wanauza kuanzia elfu 18 hadi 25 baadhi ya sehemu, kisha wanakuuzia soda buku au buku mbili. Mimi nakunywa soda, Pizza nanunua tu. Mara nyingi nina rafiki yangu anapenda hivyo nanunua ili afurahi nami nakula kipande kimoja lakini sisikii chochote. Baga ndo poa. Halafu baga unamwambia akuwekee pilipili.
 
Mi mshamba wa Mbeya huko Pizza na Burger nazionaga tu kwenye tiviii hivi utamu wake ukoje?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
361b3cc48aba2b9097b9b96950205005.jpg



Peperoni...
 
Haha ha,@malyafale banah...
Ile condiment inafanana na uharo ni ufuta ule,mwanzo hata mimi ilinichanganya ila ukiizoea utaipenda tu kwani ina radha ya uchachu wala haiwezi kukutia kichefuchefu..

Ila mayonise ndo hiyo nadhani unasema inafanana na makohozi,ha ha ha.

Binafsi pizza haipandi,kitu ni burger bana
 
Haha ha,@malyafale banah...
Ile condiment inafanana na uharo ni ufuta ule,mwanzo hata mimi ilinichanganya ila ukiizoea utaipenda tu kwani ina radha ya uchachu wala haiwezi kukutia kichefuchefu..

Ila mayonise ndo hiyo nadhani unasema inafanana na makohozi,ha ha ha.

Binafsi pizza haipandi,kitu ni burger bana
Mkuu wewe upo vizuri. Tutafutane tukale burger, Yule jamaa alokuwa akitengeneza pale Moroco kahamia Africa sana. Twenzetu baada ya hapo tukanywe soda pale kwenye bustani ya Ambiance. Tutakaa huku tukijadiliana fujo za akina espy kule MMU.
 
Dah! Bora nimepata mwenzangu. Haya mauchafu huwa siyafagilii hata kidogo. Huwa nashangaa sana nikiona watu wanavyohehuka nayo. Niwekee ugali wangu na samaki wa kukaanga mchicha chukuchuku au wa nazi, pilipili debe na gudulia langu la maji roho yangu KWATUU.

Habari yenu Wakuu,

Katika vyakula vinavyoongelewa na watu wengi ila mimi sielewi, ni hiki chakula kinaitwa Pizza. Hivi piza ina nini cha ziada? Nalijaribu kula mara sita sehemu tofauti hapa Dar, nikagundua pizza sio chakula ambacho kinanifaa. Ni chakula cha hovyo kwangu wala siwezi kuwa na hamu nacho.
View attachment 470203
Hivi ni nini kinawafanya Mpende Pizza hadi mnashindwa kulala?

Naomba mnambie pizaa ina nini hasa hadi iwateke akili.

Mimi mwenzenu napenda Burger. Mabaga Mabaga ndo mwake. Nakula hadi najilamba vidole.

Halafu niwe na Pepsi bariiidiiii...acha kabisa.
View attachment 470207
View attachment 470208
Napenda Burger
 
Shida kuizoea ile mayonnaise, mara ya kwanza kidogo nitapike
 
Dah! Bora nimepata mwenzangu. Haya mauchafu huwa siyafagilii hata kidogo. Huwa nashangaa sana nikiona watu wanavyohehuka nayo. Niwekee ugali wangu na samaki wa kukaanga mchicha chukuchuku au wa nazi, pilipili debe na gudulia langu la maji roho yangu KWATUU.
Hahahaaa...Mkuu umenichekesha sana. Mimi bado nina imani kwamba wengi wanakula kwa mkumbo tu, Hivi unaanzaje kuwa na hamu ya Pizza? Natamani Serikali ipige maarufuku.

Ulishakula ugali wa Muhogo au wa Mtama na mboga ya samaki? mchicha au hata samaki apikwe na karanga zile za kusaga. yani ni kujilamba vidole. Utashinda unakunywa maji.
 
Back
Top Bottom