Hivi nyinyi stamico mkoje.? Tunaandika barua kuhusu makaa yasiyochafua mazingira na hamjibu

Hivi nyinyi stamico mkoje.? Tunaandika barua kuhusu makaa yasiyochafua mazingira na hamjibu

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Mnatangaza kuwa mnatengeneza mikaa isiyoharibu mazingira,tunawaandikia email kwa ile email yenu ya ofisi, hakuna mtu anajibu, au mnataka tumuandikie barua Samia. Tuambieni hayo makaa tunayapataje huku mikoani, au mnamuunga mkono Mama kinafiki?
 
mashirika yetu ya umma kufanya kazi ni mpaka rais aongee ndio utawaona wanajikurupusha na kama rais wa nchi asipo amrisha hutowasikia popote na mawasiliano hawakujibu na ukijidai kuwafata ofisini wanakutimua kama paka dokozi.! ww pambana kivyako tu .!
 
mashirika yetu ya umma kufanya kazi ni mpaka rais aongee ndio utawaona wanajikurupusha na kama rais wa nchi asipo amrisha hutowasikia popote na mawasiliano hawakujibu na ukijidai kuwafata ofisini wanakutimua kama paka dokozi.! ww pambana kivyako tu .!
Ngoja tuwakomeshe tumwandikie rais direct through social media
 
Mnatangaza kuwa mnatengeneza mikaa isiyoharibu mazingira,tunawaandikia email kwa ile email yenu ya ofisi, hakuna mtu anajibu, au mnataka tumuandikie barua Samia. Tuambieni hayo makaa tunayapataje huku mikoani, au mnamuunga mkono Mama kinafiki?
Zingatia maokoto
 
Back
Top Bottom