Dar bandari ndo kishika uchumi fanya biashara kama unaweza mnashindano
Lakin Kam unafuga
Unataka kulima?
Kuchimba madini?
Au Uvuvi
Nenda uko mikoani afu leta bizaa hapa dar
Dah jau sana..Toka nilipo ona wamasai nao wanalalamika MAISHA ya dar magumu sahv wanapanga vyumba sio kulala Kila mahali ..ndo hapo nikaelewa jua Kali bongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.