Hivi Polisi na Magereza wanatakiwa kulipwa posho ya umeme na maji kwenye mishahara yao?

Hivi Polisi na Magereza wanatakiwa kulipwa posho ya umeme na maji kwenye mishahara yao?

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme

Sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho?

Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha?

Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao anawakwamisha kupata posho hizo.

Binafsi sikujua kuwa kuna kitu kama hicho mnaofahamu vizuri twambie
 
IGP Sirro yeye mwenyewe alisema kuwa police anatakiwa apate mahitaji hayo na akasema atayashughulikia, ila mpaka sasa naona bado, nadhani bado wako kwenye mkakati
 
Hadi pedi kwa wanawake
Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme,,,,,sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho???? Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha??? Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao anawakwamisha kupata posho hizo...Binafsi sikujua kuwa kuna kitu kama hicho mnaofahamu vizuri twambie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanini usiseme tu kuwa nawe upo kwenye hilo group?
Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme,,,,,sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho???? Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha??? Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao anawakwamisha kupata posho hizo...Binafsi sikujua kuwa kuna kitu kama hicho mnaofahamu vizuri twambie

In God we Trust
 
IGP Sirro yeye mwenyewe alisema kuwa police anatakiwa apate mahitaji hayo na akasema atayashughulikia, ila mpaka sasa naona bado, nadhani bado wako kwenye mkakati
Kwa sasa wasahau kwa muda

In God we Trust
 
Mkuu umewaacha zimamoto nao pia hawana hizo.
Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme,,,,,sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho???? Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha??? Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao anawakwamisha kupata posho hizo...Binafsi sikujua kuwa kuna kitu kama hicho mnaofahamu vizuri twambie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme

Sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho?

Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha?

Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao anawakwamisha kupata posho hizo.

Binafsi sikujua kuwa kuna kitu kama hicho mnaofahamu vizuri twambie
Tunajenga Stigla

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
'... Hata mimi mwenyewe Mshahara haunitoshi...'-Mh.JPM siku ya Sheria akijibu risala ya Watumishi wa Mahakama waliokuwa wakilalamila mishahara midogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'... Hata mimi mwenyewe Mshahara haunitoshi...'-Mh.JPM siku ya Sheria akijibu risala ya Watumishi wa Mahakama waliokuwa wakilalamila mishahara midogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshahara mdogo akijilinganisha na nani????? Na hawa polisi na magereza wanaoranda randa huku na kule kama kuku wa kienyeji kujitafutia chakula!!!?
 
Kila nikiwa kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kunyimwa haki yao ya posho za maji na umeme

Sasa naomba kujua kuna utaratibu wa majeshi kulipwa hizo posho?

Kama upo kwanini wanalalamika nini kinawakwamisha?

Nilijaribu kumuuliza pot mmoja kuhusu hilo akasema kuna mtu mmoja wizarani kwao anawakwamisha kupata posho hizo.

Binafsi sikujua kuwa kuna kitu kama hicho mnaofahamu vizuri twambie
Nipo hapa Wizarani nipe jina LA huyo mtu anaewabania posho zao!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom