Hivi Polisi wanatakiwa kupewa hela ya umeme na maji kwenye mishahara yao?

Hivi Polisi wanatakiwa kupewa hela ya umeme na maji kwenye mishahara yao?

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Nimekuwa nikikaa nao kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kuhusu kutokulipwa posho za maji na umeme, nilijaribu kumuuliza askari mmoja akasema kuna mtu mmoja wizarani anakwamisha jambo hilo.

Sasa nauliza kumbe! Kuna utaratibu wa majeshi kulipwa posho za maji na umeme? Je, hawa polisi na magereza wanakwamishwa na nini hadi walalamike namna hii?

Mnaojua vizuri mambo ya Polisi na magereza tupe ukweli.
 
Nimekuwa nikikaa nao kwenye mabwalo yao nawasikia wakilalamika kuhusu kutokulipwa posho za maji na umeme,,nilijaribu kumuuliza askari mmoja akasema kuna mtu mmoja wizarani anakwamisha jambo hilo,, Sasa nauliza kumbe! Kuna utaratibu wa majeshi kulipwa posho za maji na umeme??? Je hawa polisi na magereza wanakwamishwa na nini hadi walalamike namna hii??? Mnaojua vizuri mambo ya polisi na magereza tupe ukweli .
Mzeee tumia utaratibu sahihi kufikisha hoja zako.
Nahisi huku mitandaoni, hutopata majibu, poti.

nguvu ya anonymous [emoji185]
 
Mzeee tumia utaratibu sahihi kufikisha hoja zako.
Nahisi huku mitandaoni, hutopata majibu, poti.

nguvu ya anonymous [emoji185]
Mi siyo askari mkuu ila naishi nao sana mambo nayajua kiasi
 
Back
Top Bottom