Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh mbeke mteja, inasambo hatarii. Kiru kiru rwakumangi
Huyu jamaa ni kama namfahamu, amesoma Masters chuo kikuu kimoja kule +254.. Kama sikosei
Riawhooo..Duuh mbeke mteja, inasambo hatarii. Kiru kiru rwakumangi
Vitu vichafuchafu vinaliwa na watu wachafuchafu
Hahahahaaaa. Mi sijasoma huko ila nadhani nilipata kumuoa pale Catholic University of NairobiWee ulisoma wapi mkuu[emoji86] [emoji86]
Kama Niki wa Pili hivi..Huyu jamaa ni kama namfahamu, amesoma Masters chuo kikuu kimoja kule +254.. Kama sikosei
Huyo ni sweet Mangi[emoji2] [emoji2]Huyu jamaa ni kama namfahamu, amesoma Masters chuo kikuu kimoja kule +254.. Kama sikosei
Mi mchagga wa mjini mangi. [emoji23][emoji23] Hyo version yako ya kichagga sijaipata fresh....wapi hyo ??Lakana ne Isembo mana O mangi!
Mimi ni mchagga lkn nimezaliwa mjini sikijui vizuri hicho nimechanganya kimarangu na kikibosho[emoji2] [emoji2]Mi mchagga wa mjini mangi. [emoji23][emoji23] Hyo version yako ya kichagga sijaipata fresh....wapi hyo ??
Umeshakunywa Fursana sasa unatapika tu ushuzi..Vitu vichafuchafu vinaliwa na watu wachafuchafu