Hivi pombe aina ya "mbege" huwa inatengenezwaje!

Hivi pombe aina ya "mbege" huwa inatengenezwaje!

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
1475499526879.jpg
 
Sikumbuki jinsi ya kupika ila nakumbuka viungo vya kutengeneza mbege.
1. Unga wa ulezi
2.Ndizi mbivu
 
Hiyo kitu safi sana...
Ukikung'uta kata moja
1475513549667.jpg
 
Hahahahaaaa. Mi sijasoma huko ila nadhani nilipata kumuoa pale Catholic University of Nairobi
[emoji85] [emoji85] labda huenda yeye mi sijui!![emoji3] [emoji3]
 
Inatumika mchanganyiko wa ndizi, ulenzi na mti wa ISESEWE kwa wachaga wanalijua hususani huyo sweet mangi hapo nikki wa pili
 
Mi mchagga wa mjini mangi. [emoji23][emoji23] Hyo version yako ya kichagga sijaipata fresh....wapi hyo ??
Mimi ni mchagga lkn nimezaliwa mjini sikijui vizuri hicho nimechanganya kimarangu na kikibosho[emoji2] [emoji2]
 
Pombe pekee ya kienyeji iliyopita ktk koo langu!!
 
Back
Top Bottom