Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Ulimwengu wa leo umetawaliwa na majanga ya kila aina ikiwa ni pamoja na magonjwa yasiyo ambukiza. Wataalamu wanasema kuwa uzito uliopitiliza, unene na vitambi si dalili njema kiafya.
Wataalamu pia wanasema kupiga puli sana hudhoofisha mwili kwa kasi.
Sasa mtu mwenye kitambi, unene na uzito uliopitiliza si apige puli tu mfululizo mwili ukidhoofika anaacha na kubadili mfumo wa maisha katika vyakula kuliko kuamshana asubuhi na kuanza kukimbizana na kurushana kamba wakati watu wamelala.
Kwanini asipige puli ili apate manufaa 2 in 1 yaani ku enjoy na wakati huo huo kupunguza unene, uzito vitambi bila kusahau atakuwa ametoka na madem anaowapenda kihisia yaani dem anakuwa ameliwa bila kujijua.
Karibuni
Wataalamu pia wanasema kupiga puli sana hudhoofisha mwili kwa kasi.
Sasa mtu mwenye kitambi, unene na uzito uliopitiliza si apige puli tu mfululizo mwili ukidhoofika anaacha na kubadili mfumo wa maisha katika vyakula kuliko kuamshana asubuhi na kuanza kukimbizana na kurushana kamba wakati watu wamelala.
Kwanini asipige puli ili apate manufaa 2 in 1 yaani ku enjoy na wakati huo huo kupunguza unene, uzito vitambi bila kusahau atakuwa ametoka na madem anaowapenda kihisia yaani dem anakuwa ameliwa bila kujijua.
Karibuni