Hivi Queen Darleen na yeye ana bifu na baba yake au ndio mtoto wa kike hasara?

Wale mnaokataa mimba zenu baadae mnaanza kutafuta huruma mzee awe mpole tu kama hakuwathamini walivokuwa hawana kitu sasa hivi analia lia nini, alijiona kidume anajiweza

Mzee kakataaje mimba wakati kuna picha wako watatu na diamond kipindi ana miaka 8/9.!!
 
Huyu Mzee kwani Hana wazazi ?
 
Wera wera
 
Safi kabisa .
 
Kwa muziki upi wa queen darling wa kutengeneza pesa hapo WCB anapata hela ya kula na kodi tena kumuhurumia sababu damu moja hata akimsaidia nikidogo sana
Pia acha kutumia kauli chafu mtoto wa kike hasara mama yako ni wakiume
 
Mondi angewakutanisha wazazi wake wakamaliza tofauti zao ,maisha yakaendelea
 
Weka video yake mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…