Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Wakuu,
huyu bwana anazidi kushangaza watu kila kukicha. Mara aliokoka na
kubatizwa hivi majuzi....afu leo hii sijui keshakua Legio Maria.
Kazi mnayo kweli hapo Kenya!
huyu bwana anazidi kushangaza watu kila kukicha. Mara aliokoka na
kubatizwa hivi majuzi....afu leo hii sijui keshakua Legio Maria.
Kazi mnayo kweli hapo Kenya!