Hivi Raila Odinga anawezaje kupata wafuasi wengi hivi Kenya? Amewaloga Wakenya na uchawi gani?

Hivi Raila Odinga anawezaje kupata wafuasi wengi hivi Kenya? Amewaloga Wakenya na uchawi gani?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wakuu kwema?
Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu


Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote yaliyotoka vituoni na kusainiwa na mawakala wa pande zote yote yalikuwa uploaded online

Na kama kuna wizi wa kura ulifanyika ni rahisi kujua sababu mawakala wa pande zote wana fomu ambazo copy zake zipo online,
Odinga na timu yake ya wanasheria hawakuweza kutoa hata copy ya kituo kimoja ambayo matokeo ya mawakala wake yalitofautiana na yaliyowekwa online, na ndio maana majaji wote waliona ile kesi haikuwa na mashiko

Sasa huyu Odinga anasema aliibiwa kura, Tume ya Uchaguzi na mahakama Kuu zote zilinunuliwa na Ruto na kumpora ushindi na watu wengi sana wanamuamini,

Najiuliza huyu jamaa ametumia uchawi gani kuwashika Wakenya wengi namna hii akili?

Wanasema ndiye mlinzi wa demokrasia ila ukifuatilia utaona ndiye adui mkubwa wa demokrasia

Aliungana na Serikali ya Uhuru (aliyokuwa amedai pia ilimuibia kura na kusababisha vurugu zilizoua watu wengi) aliungana na serikali ya Uhuru kuweka maafisa wa tume ambao wangependelea chama chake, wakiongozwa na yule mama aliyeitwa Cherera

Raila pamoja na watu wa serikali ya uhuru waliwashinikiza mwenyekiti wa Tume Wafula Chebukati kumpendelea Raila na kumtishia na kumtumia maafisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa, huyu ndio mtetezi wa demokrasia?

Raila anapuuza uamuzi wa mahakama, na kuchochea kuwa imenunuliwa, kabla ya hapo aliahidi kuwa ataiheshimu hata kama ikitoa uamuzi dhidi yake

Mtetezi au adui wa demokrasia?
 
Ni mtetezi wa democrasia .
We ni mtanzania ya kwetu yametushinda
Ina maana wakenya wanafanya mambo ambayo hawajui ni nini wanafanya?
Jibu ni hapana,
Achana na mambo ya watu

Pambana na mfumo wako mbovu ya Kenya waachie
Yamekushinda wewe, nazungumza chochote ninachopenda kuzungumza, iwe Tanzania, Uganda, Sudan, Russia, Marekani, Kenya, China.. kama inakuuma sepa
 
Wakuu kwema?
Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu


Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote yaliyotoka vituoni na kusainiwa na mawakala wa pande zote yote yalikuwa uploaded online

Na kama kuna wizi wa kura ulifanyika ni rahisi kujua sababu mawakala wa pande zote wana fomu ambazo copy zake zipo online,
Odinga na timu yake ya wanasheria hawakuweza kutoa hata copy ya kituo kimoja ambayo matokeo ya mawakala wake yalitofautiana na yaliyowekwa online, na ndio maana majaji wote waliona ile kesi haikuwa na mashiko

Sasa huyu Odinga anasema aliibiwa kura, Tume ya Uchaguzi na mahakama Kuu zote zilinunuliwa na Ruto na kumpora ushindi na watu wengi sana wanamuamini,

Najiuliza huyu jamaa ametumia uchawi gani kuwashika Wakenya wengi namna hii akili?

Wanasema ndiye mlinzi wa demokrasia ila ukifuatilia utaona ndiye adui mkubwa wa demokrasia

Aliungana na Serikali ya Uhuru (aliyokuwa amedai pia ilimuibia kura na kusababisha vurugu zilizoua watu wengi) aliungana na serikali ya Uhuru kuweka maafisa wa tume ambao wangependelea chama chake, wakiongozwa na yule mama aliyeitwa Cherera

Raila pamoja na watu wa serikali ya uhuru waliwashinikiza mwenyekiti wa Tume Wafula Chebukati kumpendelea Raila na kumtishia na kumtumia maafisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa, huyu ndio mtetezi wa demokrasia?

Raila anapuuza uamuzi wa mahakama, na kuchochea kuwa imenunuliwa, kabla ya hapo aliahidi kuwa ataiheshimu hata kama ikitoa uamuzi dhidi yake

Mtetezi au adui wa demokrasia?
Laira kwa kenya ni sawa na cdm kwa tz ana wafuasi wengi ila kura huibiwa
 
Wakuu kwema?
Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu


Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote yaliyotoka vituoni na kusainiwa na mawakala wa pande zote yote yalikuwa uploaded online

Na kama kuna wizi wa kura ulifanyika ni rahisi kujua sababu mawakala wa pande zote wana fomu ambazo copy zake zipo online,
Odinga na timu yake ya wanasheria hawakuweza kutoa hata copy ya kituo kimoja ambayo matokeo ya mawakala wake yalitofautiana na yaliyowekwa online, na ndio maana majaji wote waliona ile kesi haikuwa na mashiko

Sasa huyu Odinga anasema aliibiwa kura, Tume ya Uchaguzi na mahakama Kuu zote zilinunuliwa na Ruto na kumpora ushindi na watu wengi sana wanamuamini,

Najiuliza huyu jamaa ametumia uchawi gani kuwashika Wakenya wengi namna hii akili?

Wanasema ndiye mlinzi wa demokrasia ila ukifuatilia utaona ndiye adui mkubwa wa demokrasia

Aliungana na Serikali ya Uhuru (aliyokuwa amedai pia ilimuibia kura na kusababisha vurugu zilizoua watu wengi) aliungana na serikali ya Uhuru kuweka maafisa wa tume ambao wangependelea chama chake, wakiongozwa na yule mama aliyeitwa Cherera

Raila pamoja na watu wa serikali ya uhuru waliwashinikiza mwenyekiti wa Tume Wafula Chebukati kumpendelea Raila na kumtishia na kumtumia maafisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa, huyu ndio mtetezi wa demokrasia?

Raila anapuuza uamuzi wa mahakama, na kuchochea kuwa imenunuliwa, kabla ya hapo aliahidi kuwa ataiheshimu hata kama ikitoa uamuzi dhidi yake

Mtetezi au adui wa demokrasia?
Ukabila ni hatari na upumbavu, huo ni ukabila tu, hakuna lingine.
 
Wakuu kwema?
Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu


Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote yaliyotoka vituoni na kusainiwa na mawakala wa pande zote yote yalikuwa uploaded online

Na kama kuna wizi wa kura ulifanyika ni rahisi kujua sababu mawakala wa pande zote wana fomu ambazo copy zake zipo online,
Odinga na timu yake ya wanasheria hawakuweza kutoa hata copy ya kituo kimoja ambayo matokeo ya mawakala wake yalitofautiana na yaliyowekwa online, na ndio maana majaji wote waliona ile kesi haikuwa na mashiko

Sasa huyu Odinga anasema aliibiwa kura, Tume ya Uchaguzi na mahakama Kuu zote zilinunuliwa na Ruto na kumpora ushindi na watu wengi sana wanamuamini,

Najiuliza huyu jamaa ametumia uchawi gani kuwashika Wakenya wengi namna hii akili?

Wanasema ndiye mlinzi wa demokrasia ila ukifuatilia utaona ndiye adui mkubwa wa demokrasia

Aliungana na Serikali ya Uhuru (aliyokuwa amedai pia ilimuibia kura na kusababisha vurugu zilizoua watu wengi) aliungana na serikali ya Uhuru kuweka maafisa wa tume ambao wangependelea chama chake, wakiongozwa na yule mama aliyeitwa Cherera

Raila pamoja na watu wa serikali ya uhuru waliwashinikiza mwenyekiti wa Tume Wafula Chebukati kumpendelea Raila na kumtishia na kumtumia maafisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa, huyu ndio mtetezi wa demokrasia?

Raila anapuuza uamuzi wa mahakama, na kuchochea kuwa imenunuliwa, kabla ya hapo aliahidi kuwa ataiheshimu hata kama ikitoa uamuzi dhidi yake

Mtetezi au adui wa demokrasia?
Kawaulize CCM kwanza wanatumia uchawi gani kuchaguliwa pamoja na umaskini wa watz
 
Huyo mchizi mimi sijawahi kumuelewa, yuko kama ana degedege hivi
 
Wakuu kwema?
Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu


Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote yaliyotoka vituoni na kusainiwa na mawakala wa pande zote yote yalikuwa uploaded online

Na kama kuna wizi wa kura ulifanyika ni rahisi kujua sababu mawakala wa pande zote wana fomu ambazo copy zake zipo online,
Odinga na timu yake ya wanasheria hawakuweza kutoa hata copy ya kituo kimoja ambayo matokeo ya mawakala wake yalitofautiana na yaliyowekwa online, na ndio maana majaji wote waliona ile kesi haikuwa na mashiko

Sasa huyu Odinga anasema aliibiwa kura, Tume ya Uchaguzi na mahakama Kuu zote zilinunuliwa na Ruto na kumpora ushindi na watu wengi sana wanamuamini,

Najiuliza huyu jamaa ametumia uchawi gani kuwashika Wakenya wengi namna hii akili?

Wanasema ndiye mlinzi wa demokrasia ila ukifuatilia utaona ndiye adui mkubwa wa demokrasia

Aliungana na Serikali ya Uhuru (aliyokuwa amedai pia ilimuibia kura na kusababisha vurugu zilizoua watu wengi) aliungana na serikali ya Uhuru kuweka maafisa wa tume ambao wangependelea chama chake, wakiongozwa na yule mama aliyeitwa Cherera

Raila pamoja na watu wa serikali ya uhuru waliwashinikiza mwenyekiti wa Tume Wafula Chebukati kumpendelea Raila na kumtishia na kumtumia maafisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa, huyu ndio mtetezi wa demokrasia?

Raila anapuuza uamuzi wa mahakama, na kuchochea kuwa imenunuliwa, kabla ya hapo aliahidi kuwa ataiheshimu hata kama ikitoa uamuzi dhidi yake

Mtetezi au adui wa demokrasia?
Kwani lini amewahi kuwa na wafuasi wachache?

Hao wote ni wenye njaa
 
Back
Top Bottom