Hivi Rais Félix Tshisekedi yupo? Mbona anawabembeleza waasi na miji inazidi kutekwa na watu wanauwawa halafu yupo kimya??

Hivi Rais Félix Tshisekedi yupo? Mbona anawabembeleza waasi na miji inazidi kutekwa na watu wanauwawa halafu yupo kimya??

Au Mimi ndio sielewi? Kwanin Waasi wanabembelezwa kwamba serikali na wacongomani wamesurrender na wamekubali kutawaliwa na M23? Hawa M23 ni kina nani?
ajabu sana, inasezekana amekubaliana na hali, kwamba wateke tu. nijuavyo, M23 walisema wamesitisha, pengine ilikuwa pending kikao cha SADC wiki hii, ila ili kikao kiwe na mhemko au ili tshekeli asitishe safari yake kuja bongo, wakaamua kuvamia hayo maeneo tena strategically ili asipokuja waseme yeye ndio hataki suluhu.
 

View: https://x.com/StanysBujakera/status/1887306274750030073

Mkuu, hiyo video ya leo asubuhi Senate na Bunge la DRC. Ukiweza kuielewa, utajua lipi ushike,lipe uache.
Serikali yenyewe imeshachanganyikiwa. Nani ana jukumu zaidi ya serikali yenyewe? Hili jambo halipo kihisia zaidi. Anaeongea hapo, siku za nyuma alishawekwa ndani,kisa kutofautiana na raisi. Kwa ushawishi alio nao, raisi alilazimika kumuweka alipo,ili amani ipatikane. Leo hii, unahusiswa na kuwa huenda anaisaliti serikali. Kama tatizo lipo kwenye uongozi juu, unategemea nini?
 
Hivi inakuaje mtu anavamia nchi yako na anashika miji? Hili keshi la kongo ni jeshi dahifu kiasi kani asee
 
Kagame ni moto wa kuotea mbali.. Ni super power ukanda wa africa ana silaha nzito kutoka ulaya na amerika na mashirikiano makubwa na israel
 
Au Mimi ndio sielewi? Kwanin Waasi wanabembelezwa kwamba serikali na wacongomani wamesurrender na wamekubali kutawaliwa na M23? Hawa M23 ni kina nani?
Screenshot_20250206-153411.jpg
Screenshot_20250206-153456.jpg
 

View: https://x.com/StanysBujakera/status/1887306274750030073

Mkuu, hiyo video ya leo asubuhi Senate na Bunge la DRC. Ukiweza kuielewa, utajua lipi ushike,lipe uache.
Serikali yenyewe imeshachanganyikiwa. Nani ana jukumu zaidi ya serikali yenyewe? Hili jambo halipo kihisia zaidi. Anaeongea hapo, siku za nyuma alishawekwa ndani,kisa kutofautiana na raisi. Kwa ushawishi alio nao, raisi alilazimika kumuweka alipo,ili amani ipatikane. Leo hii, unahusiswa na kuwa huenda anaisaliti serikali. Kama tatizo lipo kwenye uongozi juu, unategemea nini?

Ha hahahaha ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom