Hivi Rais Félix Tshisekedi yupo? Mbona anawabembeleza waasi na miji inazidi kutekwa na watu wanauwawa halafu yupo kimya??

Hivi Rais Félix Tshisekedi yupo? Mbona anawabembeleza waasi na miji inazidi kutekwa na watu wanauwawa halafu yupo kimya??

Au Mimi ndio sielewi? Kwanin Waasi wanabembelezwa kwamba serikali na wacongomani wamesurrender na wamekubali kutawaliwa na M23? Hawa M23 ni kina nani?
Screenshot_20250206-155520.jpg
Screenshot_20250206-155508.jpg
Screenshot_20250206-155127~2.jpg
Screenshot_20250206-155127.jpg

Hawa jamaa ni recruits wa jeshi au ni factory workers?
 
Back
Top Bottom