pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Ndio inavyokuwaga hadi wanachukua nchi. Hata Kagame, Mseveni, Kabila waliingia madarakani kwa staili hiyoAu Mimi ndio sielewi? Kwanin Waasi wanabembelezwa kwamba serikali na wacongomani wamesurrender na wamekubali kutawaliwa na M23? Hawa M23 ni kina nani?