Hivi Rais Magufuli alifanya maamuzi ya busara kwa kuwaita Wakuu wa Vyombo vya Usalama kuongelea COVID19, badala ya kuwaita Wataalamu wa Afya?

Sisi tunafanikisha tena sana tu, inategemea wewe binafsi mtazamo wako upo vipi.

Kama glass imejaa nusu kwenda juu au imepungua nusu kwenda chini, hilo ni suala la akili yako binafsi.
Mafanikio sio pesa Hadi uitoe mfukoni ndi ionekane, tofautisha kufanisha na propaganda za tbc
 
Issue si kuitwa daktari au nesi au mkuu wa wilaya au vinginevyo iwavyo, bgali nhi ujumbge bganhi wanakwenda kupewa ama kujadili. Kikao kile hakikuhitaji dokta wala nesi kwa maudhui yake ndio maana hawakuitwa.

Nakushauri uende ukasikilize tena maudhui & ujumbe wa kikao kile + maelekezo + maagizo yaliyotolewa siku ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…