Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kama hakuwahi maana yake Urais huu ni matokeo ya Mwenyezi Mungu, kwamba Iliamuliwa aipitishe Nchi Kwa kipindi fulani, na hii pengine ilichagizwa na Upole, Unyenyekevu, Uanaharakati wake kuhusu Wanawake, nafasi alizowahi kushika kama Mwanamke.
Kwa Lugha nyepesi, miaka kumi ya kuwa katika Ofisi ya Rais ilimtosha.
Kugombea tena ni kwenda kinyume na Matakwa ya Mungu.
Kwa Lugha nyepesi, miaka kumi ya kuwa katika Ofisi ya Rais ilimtosha.
Kugombea tena ni kwenda kinyume na Matakwa ya Mungu.