Hivi Rais Samia yuko serious kweli katika kuunda Kamati Maalumu ya Corona? Mbona haoneshi mfano wa kutilia maanani ugonjwa huu?

Hmm....na cha ajabu tokea jamaa afe, nyuzi za tanzia humu JF nazo ni kama zimeisha!

Watu hawafi tena kwa matatizo ya upumuaji!

Curious...
Dah alaf kweli mkuu, habari za tanzia zimepungua sana. Unahisi ni kwanini imekuwa hivi mkuu?
 
Shauri yake,soon na yeye tutamzika. Mtu yupo kwenye risk namna hii,ila hachukui measures za kujikinga. Mpango atakuwa Rais soon very soon.
 
Unawashwa sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…