yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Dah alaf kweli mkuu, habari za tanzia zimepungua sana. Unahisi ni kwanini imekuwa hivi mkuu?Hmm....na cha ajabu tokea jamaa afe, nyuzi za tanzia humu JF nazo ni kama zimeisha!
Watu hawafi tena kwa matatizo ya upumuaji!
Curious...
Unadhani viongozi woote wana roho mbaya kama jiwe?Simuelewi Mama, umri 60s. Mtu katoka Kenya huko kwenye 3rd wave. Ni hatari sana, tunaweza hata kutegeshewa mtu ana Covid akaja kwa Mama yetu.
Imeshamuondoa babakoDuh! [emoji1787][emoji1787]
Zaidi ya mwaka na ushee tokea janga lianze!
Jiwe ndiyo kashaondokaOn top of that...she’s on the thick side of body types [don’t wanna say overweight lest I be accused of body shaming her]
Sijui.Dah alaf kweli mkuu, habari za tanzia zimepungua sana. Unahisi ni kwanini imekuwa hivi mkuu?
Kwa hiyo?Jiwe ndiyo kashaondoka
Mbona lile sukuma lenzenu mlikuwa amliambii achukue tahadhali juu ya corona, wanafiki wakubwa, urais hamtokaa muupate nchi hiiMpaka kamati iseme vaeni barakoa ndo naye ataanza kuvaa?
Aisee!!!
Umebakia mjaneKwa hiyo?
Jinyongeni mumfate mungu wenu jiwe ke.nge nyinyiKwa hiyo?
Hongera sana mkuuMbona lile sukuma lenzenu mlikuwa amliambii achukue tahadhali juu ya corona, wanafiki wakubwa, urais hamtokaa muupate nchi hii
Jipige nyundo ya kichwa ufe ili umfate mungu wenu wa kisukuma nyau wwHana jipya jpm was right.
Hayawezi kuyashinda ya kwako wewe mjaneUna matatizo wewe!
Unatisha sanaJipige nyundo ya kichwa ufe ili umfate mungu wenu wa kisukuma nyau ww
Wewe in bonge la mshamba sana kutoka kazuramimba[emoji867]
Sasa nini kifanyikeHiyo kamati ni mwanya na fursa ya upigaji hela tu!
Hakuna haja ya kuunda kamati ya kutuambia kama kuna corona au hakuna.
Unauliza swali au unatoa kauli?Sasa nini kifanyike
Covid 19 ni issue ya diplomacy mzee.
Hiyo kamati ikisha ushaur ndio ataamua avae barakoa au asivae.
Too early to judge her on minors
Unawashwa sana aiseeKweli kabisa.
Watanzania wengi wanapenda kusikia maneno yawapendezayo bila kupima ukweli wake.
Ni kama mwendazake alivyokuwa akitutangazia sisi ni matajiri dona kantri na miradi yote tunaitekeleza kwa fedha zetu za ndani.
Mataga wakawa wanamshangilia kwa nguvu zote wakitaka aongezewe muda atawale milele.
Bila ya kupima ukweli wa maneno ya mwendazake.
Hao ndo watanzania.