Hivi Rais wa Tanzania akienda nchi kama Marekani, magari husimamishwa kupisha msafara wake?

Thubutu!

Nani atakubali upuuzi huo.

Sana sana patakuwepo na askari wawili watatu kuhakikisha usalama, basi; na hasa kama kuna maandamano ya wananchi wake walioko huko wakipinga siasa zake.
Kule watu wanafanya kazi kwa masaa hawana muda wa kusubiri kiongozi wa kiafrica apite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…