kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Tafuta ngoma moja inaitwa Akullo chillar amefunika vibaya sanaMkuu nikumbushe RnB mojawapo ya Q.Chillah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta ngoma moja inaitwa Akullo chillar amefunika vibaya sanaMkuu nikumbushe RnB mojawapo ya Q.Chillah
Hatariii sana jamaa humo ndan alazimishi khabisaaKuna ile ngoma alimshirikisha Lady jay dee - Kama huwezi ........... ni nomaaaaaaaaahhh....
Daah hiyo ilinipita ngoja nikaitafuteTafuta ngoma moja inaitwa Akullo chillar amefunika vibaya sana
"Kama huwezi...ona ona eeeh....Hatutagombana tukifuata yetu...mimi nawe ona..."....HATARIIIIIIIIIIII....!!!Hatariii sana jamaa humo ndan alazimishi khabisaa
Dahhh[emoji4] [emoji4] [emoji4]"Kama huwezi...ona ona eeeh....Hatutagombana tukifuata yetu...mimi nawe ona..."....HATARIIIIIIIIIIII....!!!
Huyo ni msanii ambaye hajielewi au kwa kifupi unaweza kusema ni Nyumbu.Amejiingiza kwenye beef za kijinga na Media halafu anajikomba komba kwa Jide.Sasa Mwenzao Jide kaomba radhi ( Nadhani ni baada kuwa chini ya mchagaa Mosha anaejua namana kupata pesa )
- Sasa wale nyumbuwote waliokuwa na Jide nao wataomba msamaha au watakaza
- Watu wana vichwa vyao sijui kwanini hawavitumii, yaleyale ya kina Sugu - Ant Virus na Clouds.Sugu karudi Clouds Nyumbu wameshindwa wafanye nini.
- Ukiona mtu ana beef kuwa makini ,huwa ni suala la maslahi yake siku akiyapata utabaki kuonekana uliekuw unamuunga mkono ni bonge la mnafiki.
Rama D ia the best r&b singerWakuu, Leo katika pitapita zangu huko you tube nimekutana na video ya msanii Rama dee inaitwa - Kipenda roho
Aisee ni bonge moja ya rnb song
Kinacho nishangaza ni kwanini haikupewa na mpaka sasa haipewi air time ya kutosha kama video nyingine?
Basi hata ile kuzungumziwa kwenye social network sijawahi kusikia!
Tatizo nini kwa msanii huyu?
Nimeshindwa tu kuweka link ya hiyo video hapa ila ni mziki mzuri sana.
Video nzuri unaitazama mpaka nerve sinasisimuka nikakahisi JOE THOMAS amehamia bongo!!
Ndio kitu kilichonisukuma kuuliza huyu mtu aliwakosea nini watanzania? Kama yupo humu awaombe radhi aliowakosea video nzuri kama
ile haikufaa kuishia pale!!
Karibuni tujadili na maoni vilevile yanaruhusiwa huenda yatamfikia
I disagreeVita ya vinega ( ant-virus) dhidi ya ruge imempoteza jamaa.
Thanks mkuu... Ni kama br. Paul, y thang, solo thang, ramso na wengineRama dee ni msomi mzur tu afu anafanya zake biashara huko Australia yupo na mkewe na watoto zake wawili .yule haimbiii mzuki kama kaz ni baada ya kuona bongo wanazingua. Na hata Steve rb yupo zake naye ulaya huko wanapiga biashara zao
Bush LA Australia ndio anaishi
HONGERA SANA KWA KUSHIKA UJAUZITO.Huyo ni msanii ambaye hajielewi au kwa kifupi unaweza kusema ni Nyumbu.Amejiingiza kwenye beef za kijinga na Media halafu anajikomba komba kwa Jide.Sasa Mwenzao Jide kaomba radhi ( Nadhani ni baada kuwa chini ya mchagaa Mosha anaejua namana kupata pesa )
- Sasa wale nyumbuwote waliokuwa na Jide nao wataomba msamaha au watakaza
- Watu wana vichwa vyao sijui kwanini hawavitumii, yaleyale ya kina Sugu - Ant Virus na Clouds.Sugu karudi Clouds Nyumbu wameshindwa wafanye nini.
- Ukiona mtu ana beef kuwa makini ,huwa ni suala la maslahi yake siku akiyapata utabaki kuonekana uliekuw unamuunga mkono ni bonge la mnafiki.
nmekuelewa sana mkuuMkuu ngushi,
Rama Dee ni mwanamuziki haswa anayejua kuimba RNB iliyoenda shule, salute kwake.
Nyimbo za Rama D zinafuatiliwa sana na watu wanaojua muziki mzuri. Kinachomfanya asitoboe ni kushindwa kujua soko la Afrika linataka nini.
Soko la music la Africa linataka mziki unaochezeka kwa asilimia kubwa. Kwa sababu waafrika wengi hasa watanzania wanaujua wimbo kupitia disko, vigodoro na kiasi fulani radio stations. Lakini pia ni asili yetu kupenda midundo inayochezeka.
Ndio maana akina Ben Pol na Belle 9 wanafanya RNB inayochezeka na wana mafanikio kuliko kaka mkubwa Rama D, sio kwamba huko Studio beats laini hakuna, lakini wanaangalia soko linataka nini.
Wimbo kama moyo mashine haukupaswa kukimbizwa namna ile, kuna jamaa amefanya cover ni kali sana lakini angetumia Ben Pol hyo slow beat wimbo usingepata mashabiki wengi. Kuna wakati unaacha mapenzi yako binafsi unaelekea upande ilipo pesa, Afrika pesa iko kwenye midundo inayochezeka Rama D abadilike kidogo kufuata upepo kama anataka muziki biashara.
RAMA DEE YUPO VIZURI SANA,ANAJUA SANA,KWANI MSANII WA TANGANYIKA NI LAZIMA UPATANE NA CLOUD NDO UTATOKA KIMZIKI?WAO NI KINA NANI?CHANNEL FIVE NA WENGINE HAWAPIG NYIMBO ZAKE?HIVI MNAJUA KUNA WATU HATUNAGA MUDA KABISA WA KUANGALIA CLOUD WALA KUISIKILIZA?Tatizo jamaa ana mambo ya kike na ndio yamesababisha apotee kwenye game,aliingilia ugomvi wa Ruge na sugu sasa walivyo kuja kupatana yeye akabaki yupo yupo na ngoma zake cloud hawazigongi!