King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mng'avu anakuwa sio mweusi,,na wala sio mweupe..
Yupo kati kati.
We nayo nππ Akikosa achemshe maharage ya kombati.
Rangi ya mwili inahusianaje na kwenye magari,nyie ndio wahuni wa mabatini mnaokabaga watuHaha hahah hahaha pepo mchafu umechefukwa
We unarangi gani mkuu,embu weka picha yako tuone kama ndio hiyo maji kundeChukua kunde chemsha rangi utakayoipata ndio ya kunde
πππππ Akikosa achemshe maharage ya kombati.
We kajamaa ni miongoni mwa vihuni vya jf
.Itapendeza na picha zikiambatanishwa
Mamaaaa utatuua jamaa
Vyakula tena jamaa