Dada ana roho yule, ndo nini vile kujaribu mavyupi makubwa vile mbele ya kamera na bado anapost kwny mitandao aloo hahahAnayeuza vyupi Mwanae yule...
Tena yule ndiyo ana nyumba nyingi nadhani kuliko hata wenzake..
Wengine wanajifanya Wana machale kama wanakimbia defenda la kumsaka kibaka wa mitaa ya kekoPole sana, wakati mwingine ukali huwa ni hulka ya mtu binafsi.
Hata kama una cheo/wadhifa Mkubwa lakini haikuondolei kufuata utaratibu.
Kuna kazi moja ilihusisha kukutana na Mzee Pinda wakati fulani, though ilikuwa baada ya kustaafu.
Lakini Mzee wa watu alikuwa peace [emoji3577] tu wakati anasubiri nimuhudumie.
Na alikuwa anapenda ucheshi kidogo, japo Walinzi wake walikuwa kama hawapendi Mzee aendelee kukaa muda mrefu pale.
Kuna Rita mwingine wa BSS, nae alikuwa pisi nasikia ilikuwa personal property ya Mzee RM.RITA kiboko hadi ile mamlaka ya kusajili vizazi na vifo imepewa jina lake inaitwa RITA🤣🤣
Yule mweupe ?Kuna Rita mwingine BSS nae alikuwa pisi nasikia ilikuwa personal property ya Mzee RM.
Kuna Rita mwingine BSS nae alikuwa pisi nasikia ilikuwa personal property ya Mzee RM.
Ile ya bss ni pisi mwaisa, MR. Machache pale alipata kitu.Kuna Rita mwingine BSS nae alikuwa pisi nasikia ilikuwa personal property ya Mzee RM.
Ubaya au uzuri kwa wanaume alikuwa na huruma kupitiliza mwaisa.Ile ya bss ni pisi mwaisa, MR. Machache pale alipata kitu.
Yeah.....Rita P.Yule mweupe ?
iwekwe lamination hii...namwambiaga babe yangu haya maneno daily...ukiwa huna hela vishawishi kibao...ukiwa nazo hata mumeo unampa ratiba...unamwambia kbs jpl usiniguse juma3 nna kikao na wafanyakazi wangu😆Yaani mi nasema kila siku wanawake tutafute Hela,,yaani ukiwa na Hela huna time na mambo ya kucheatcheat maana wanawake mara nyingi cheating zinatokana na Uchumi mmbovu,mtu anajitia Muha ga huku moyoni anahukumiwa.
Hela ndugu yangu...Hela...Dada ana roho yule, ndo nini vile kujaribu mavyupi makubwa vile mbele ya kamera na bado anapost kwny mitandao aloo hahah
Ana shobo Kwa shombeshombe, acha atembezee ubaraHahahaha.................hatari sana, hayo mambo hayana Ubabe 😅
Nipo. Nitafute!.Msimcharaze pulizi, anatupatia ubuyu wa old school🤣🤣🤣
Nilichojifunza vyeo vya kyuuup..i havijaanza Jana....Hivi humu Jf hamna MNEC mmoja na mimi nijiweke nihongwe hata u DC?
Sijajuwa=Sijajua😌 shule ulienda kusomea ujinga!
Wanasambaziana HIV Tu 😂Ile ya bss ni pisi mwaisa, MR. Machache pale alipata kitu.
mwanae wa kumzaaWale wa kiume nawaonaga sana kunduchi na ununio. Yule anaeuza vyupi mitandaoni ni ndgu na huyu mama.?
Anza na yule aliomba ridhaa ya chama huko kilimanjaro ya ubunge 2020, yes wa kumzaamwanae wa kumzaa
huenda wewe wa kizaz hiki...wengimbona wanajua mkuu?Aisee! Kumbe walimtenda vibaya hivyo? Mbona hizo habari hazijulikani kwa wengi? Bora zingewekwa wazi kwa manufaa ya vizazi vijavyo. Kuna la kujifunza katika hayo.
DuhViongozi kuwa Malaya muasisi ni mchonga, Tena yeye alikuwa akila Malaya wa kizungu akienda kwenye ziara nje ya nchi,
Huko ndiko Aliko upatia ukimwi, ukamuondoa