Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Wengine wanajifanya Wana machale kama wanakimbia defenda la kumsaka kibaka wa mitaa ya keko
 
Yaani mi nasema kila siku wanawake tutafute Hela,,yaani ukiwa na Hela huna time na mambo ya kucheatcheat maana wanawake mara nyingi cheating zinatokana na Uchumi mmbovu,mtu anajitia Muha ga huku moyoni anahukumiwa.
iwekwe lamination hii...namwambiaga babe yangu haya maneno daily...ukiwa huna hela vishawishi kibao...ukiwa nazo hata mumeo unampa ratiba...unamwambia kbs jpl usiniguse juma3 nna kikao na wafanyakazi wangu😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…