Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hee taulo!🙂🙂
 
Nikionaga mwanaume anapondea habar za pussy huwa namtilia sn mashaka huo uanaume wake[emoji4]
Wengine wamekosa nafasi tu kutokana na kipato ama sababu za kiafya.

Lakini suala la Pussy cat hakuna Mwanaume anaweza kupindua.......

Wengine ni vile Tumezeeka tu 🤪
 
Ajbu sna huyu mzee Ni boya sna a
Hayajakukuta! Tema mate chini, yakikufika utamuona bonge la akili kubwa. Kuachana na mke mliyeishi miaka mingi zaidi ya 20 kwa sababu ya kutoa K, ni uboya. Haya mambo huwa na wakati wake na wakati ukiisha anatulia. K kitu gani bwana
 
Utoto raha. Wengine watoto wao wamazaliwa baada ya kustaafu na sasa wanasoma Feza wakati wa ujana walisoma kayumba. Upo hapo
 
Utoto raha. Wengine watoto wao wamazaliwa baada ya kustaafu na sasa wanasoma Feza wakati wa ujana walisoma kayumba. Upo hapo
Angalia rate ya hao unaowasema.

Kuzaa watoto wakati umestaafu ni kuwatengenezea Uyatima na kuishi bila Wazazi.

We unazaa mtoto una miaka 60 huyo mtoto hadi afike Form IV utakuwa Hai?

Usihusishe Case ya Mzee Mengi na sisi Mafukara wengine ambao hata Kujenga tunategemea hela ya Kustaafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…