Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Watoto wa 1990's hawamjui Rita Mlaki !
Rita mama wa Kichaga na Mbunge mkorofi.
Kada wa CCM na Tajiri fulani wa Dar es salaam.
Mamaa mwenye majumba/appartments na biashara Nyingi.
Alizaa na aliyetajwa na pia ni mtu mtulivu ukiongea naye.
Hajapewa kitu kwenye miradhi ya MAMA Ben kwakuwa ile hakuwa na ndoa bali ni concubine na INDIAN SUCCESSION ACT , 1865, haitambui masuria[vimada] kama warithi. Unaweza ukarejea kesi ya VIKI KAMATA In the matter of the Estate of the Late Dr. Servacius Beda Likwelile And in the Matter of Application for the Letters of Administration without Will by Raymond Babu Likwelile And In the Matter of Caveat by Vicky Paschal Kamata (Probate And Administration Cause No. 50 of 2021) [2023] TZHC 21069 (15 September 2023).

kesi ya MKE WA LYATONGA MREMA In the matter of the Estate of the Late Augustino Lyatonga Mrema And In the Matter of Application for Letters of Administration without Will by Peter Augustino Mrema And In the Matter of Caveat by Doris Agness Augustin Mkandala (Probate And Administration Cause No. 263 of 2022) [2023] TZHC 21960 (20 October 2023)

Soma kesi ya JAQ MENGI , amepewa nini?

# Wanawake wote mnaoishi kimapenzi na waume za watu, mmepangiwa nyumba Sinza, Goba, Mikocheni na Kawe, mnatesa na magari mazuri huku mke wa ndoa akijibana kwenye bajaji ya kuchangia muache mara moja, mtalia siku mume akifa: Wewe ni kimada hata taulo mlilokuwa mnajifutia baada ya sherehe ya usiku hutapewa.
Hee taulo!🙂🙂
 
Nikionaga mwanaume anapondea habar za pussy huwa namtilia sn mashaka huo uanaume wake[emoji4]
Wengine wamekosa nafasi tu kutokana na kipato ama sababu za kiafya.

Lakini suala la Pussy cat hakuna Mwanaume anaweza kupindua.......

Wengine ni vile Tumezeeka tu 🤪
 
Ajbu sna huyu mzee Ni boya sna a
Hayajakukuta! Tema mate chini, yakikufika utamuona bonge la akili kubwa. Kuachana na mke mliyeishi miaka mingi zaidi ya 20 kwa sababu ya kutoa K, ni uboya. Haya mambo huwa na wakati wake na wakati ukiisha anatulia. K kitu gani bwana
 
Hatari sana

Binafsi nimejiwekea malengo sitaendelea kuzalisha nikifika 40 labda itokee bahati mbaya.

Sitaki kupata watoto wa Uzeeni maana watasumbua kwenye malezi maana nikifika 60 ina maana yeye atakuwa na 19 akiwahi shule atakuwa yupo Chuo Kikuu.

Mambo ya kusomesha watoto kwa hela ya Pension sio Poa.

Imagine unapata mtoto ukiwa na miaka 50 yaani una staafu Utumishi mwanao anakuwa Shule ya Msingi tena darasa la 4 ama la 5 what a shame 🫠

Bora kuikata mirija ya mbegu nikifika 40 kuepuka hii aibu
Utoto raha. Wengine watoto wao wamazaliwa baada ya kustaafu na sasa wanasoma Feza wakati wa ujana walisoma kayumba. Upo hapo
 
Utoto raha. Wengine watoto wao wamazaliwa baada ya kustaafu na sasa wanasoma Feza wakati wa ujana walisoma kayumba. Upo hapo
Angalia rate ya hao unaowasema.

Kuzaa watoto wakati umestaafu ni kuwatengenezea Uyatima na kuishi bila Wazazi.

We unazaa mtoto una miaka 60 huyo mtoto hadi afike Form IV utakuwa Hai?

Usihusishe Case ya Mzee Mengi na sisi Mafukara wengine ambao hata Kujenga tunategemea hela ya Kustaafu
 
Back
Top Bottom