Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Ahaaaa haki ya Mungu sio kwa kichambo hicho kwa michepuko.ila huyo mama Hana mtoto WA nje jamani acheni uzushi
 
Ila Rita Mlaki ni mzuri yule mama.
Hata mimi huwa namtamani toka zamani.
So, no surprise kwa Ben
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…