Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Watoto wa 1990's hawamjui Rita Mlaki !
Rita mama wa Kichagga na Mbunge wa Kawe 2005-10 mkorofi.
2010 alipigwa chini kura za Maoni n akajiondoa UWT akilalamikia Ukabila.

Kada wa CCM na Tajiri fulani wa Dar es salaam.
Mamaa mwenye majumba/appartments na biashara Nyingi.
Alizaa na aliyetajwa na pia ni mtu mtulivu ukiongea naye.

Hajapewa kitu kwenye miradhi ya MAMA Ben kwakuwa ile hakuwa na ndoa bali ni concubine na INDIAN SUCCESSION ACT , 1865, haitambui masuria[vimada] kama warithi. Unaweza ukarejea kesi ya VIKI KAMATA In the matter of the Estate of the Late Dr. Servacius Beda Likwelile And in the Matter of Application for the Letters of Administration without Will by Raymond Babu Likwelile And In the Matter of Caveat by Vicky Paschal Kamata (Probate And Administration Cause No. 50 of 2021) [2023] TZHC 21069 (15 September 2023).

kesi ya MKE WA LYATONGA MREMA In the matter of the Estate of the Late Augustino Lyatonga Mrema And In the Matter of Application for Letters of Administration without Will by Peter Augustino Mrema And In the Matter of Caveat by Doris Agness Augustin Mkandala (Probate And Administration Cause No. 263 of 2022) [2023] TZHC 21960 (20 October 2023)

Soma kesi ya JAQ MENGI , amepewa nini?

# Wanawake wote mnaoishi kimapenzi na waume za watu, mmepangiwa nyumba Sinza, Goba, Mikocheni na Kawe, mnatesa na magari mazuri huku mke wa ndoa akijibana kwenye bajaji ya kuchangia muache mara moja, mtalia siku mume akifa: Wewe ni kimada hata taulo mlilokuwa mnajifutia baada ya sherehe ya usiku hutapewa.
Ahaaaa haki ya Mungu sio kwa kichambo hicho kwa michepuko.ila huyo mama Hana mtoto WA nje jamani acheni uzushi
 
Watoto wa 1990's hawamjui Rita Mlaki !
Rita mama wa Kichagga na Mbunge wa Kawe 2005-10 mkorofi.
2010 alipigwa chini kura za Maoni n akajiondoa UWT akilalamikia Ukabila.

Kada wa CCM na Tajiri fulani wa Dar es salaam.
Mamaa mwenye majumba/appartments na biashara Nyingi.
Alizaa na aliyetajwa na pia ni mtu mtulivu ukiongea naye.

Hajapewa kitu kwenye miradhi ya MAMA Ben kwakuwa ile hakuwa na ndoa bali ni concubine na INDIAN SUCCESSION ACT , 1865, haitambui masuria[vimada] kama warithi. Unaweza ukarejea kesi ya VIKI KAMATA In the matter of the Estate of the Late Dr. Servacius Beda Likwelile And in the Matter of Application for the Letters of Administration without Will by Raymond Babu Likwelile And In the Matter of Caveat by Vicky Paschal Kamata (Probate And Administration Cause No. 50 of 2021) [2023] TZHC 21069 (15 September 2023).

kesi ya MKE WA LYATONGA MREMA In the matter of the Estate of the Late Augustino Lyatonga Mrema And In the Matter of Application for Letters of Administration without Will by Peter Augustino Mrema And In the Matter of Caveat by Doris Agness Augustin Mkandala (Probate And Administration Cause No. 263 of 2022) [2023] TZHC 21960 (20 October 2023)

Soma kesi ya JAQ MENGI , amepewa nini?

# Wanawake wote mnaoishi kimapenzi na waume za watu, mmepangiwa nyumba Sinza, Goba, Mikocheni na Kawe, mnatesa na magari mazuri huku mke wa ndoa akijibana kwenye bajaji ya kuchangia muache mara moja, mtalia siku mume akifa: Wewe ni kimada hata taulo mlilokuwa mnajifutia baada ya sherehe ya usiku hutapewa.
Ila Rita Mlaki ni mzuri yule mama.
Hata mimi huwa namtamani toka zamani.
So, no surprise kwa Ben
 
Back
Top Bottom