Hivi Roma aliposema mawingu kwenye derby ya Paka na Panya alimaanisha Clouds FM?

Hivi Roma aliposema mawingu kwenye derby ya Paka na Panya alimaanisha Clouds FM?

Mbahili

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
281
Reaction score
525
1718932502992.png
Mzee mbabe untouchable mkali ka Mugabe,
Hakuiva na Manji wenye ganji akasema akabwe,
Panya wakafyata mkia wakapotea wenye ngebe,
Acha kumpinga ukimsema unanyea debe,
Hakua mlevi wa uhuru kunyata kama kalewa,
Labda kama madaraka yanalevya alolevyewa,
Sometimes hivi vyeo vina hangover,
Lake gang wakasukuma wakatakeover,
Ni yeye alileta swaga za ku-fly over,
Ila ni yeye democracy alii-bend over,
Sahani vyombo vya panga na vyombo vya dola alitumia anavyotaka kutuchapa na hii bakora,
Na si kila mfuga makucha hawezi ogopa kurarua,
Kwa Lissu aliona matunda na mwili sio chandarua,
Walojidai wazalendo waliisoma namba kirumi,
Ukikosoa miundombinu tu umehujumu uchumi,
Wakazaliwa chawa wafata upepo ka bendera,
Walojifanya sugu walienda jela,
Watu wakakiita chuma na hakikuwa na huruma,
Na hakikuwa na njia za panya mipango yote ilibuma,
Bado vita havina suluhu na kupona ni Majaliwa,
Sikuweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa,
Siku Paka akishika mwambie Panya tunataka Katiba,
Hatuogopi hizi shida tutapita hata kama kuna miba,
Siku Paka akishika mwambie Panya tunataka Katiba,
Hatuogopi hizi shida tutapita hata kama kuna miba,
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele,
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele,
Kuwatesa panya ndio sifa za paka shume,
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele,
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele,
Eyoo paka alitawala huu msitu wa serikali,
Panya ndo sisi,



 
....
Naona Gap kubwa kati ya paka na panya
Hii si ni derby sasa mbona siasa za kugawanya
Sisi je nyie ni Tom mnajiona Hilfiger eeeh
Kisa mna power na money mnajiona mambwiga
Mtaani kuna njaa paka acha na sisi
Nyanya imekuajiri leo sokoni
Mzee mbabe untouchable mkali ka Mugabe
Hakuiva na Manji wenye ganji akasema akabwe
Panya wakafyata mkia wakapotea wenye ngebe
Acha kumpinga ukimsema unanyea debe
Hakua mlevi wa uhuru kunyata kama kalewa
Labda kama madaraka yanalevya alolevyewa
Sometimes hivi vyeo vina hangover
Lake gang wakasukuma wakatakeover
Ni yeye alileta swaga za ku-fly over
Ila ni yeye democracy alii-bend over
Sahani vyombo vya panga na vyombo vya dola alitumia anavyotaka kutuchapa na hii bakora
Na si kila mfuga makucha hawezi ogopa kurarua
Kwa Lissu aliona matunda na mwili sio chandarua
Walojidai wazalendo waliisoma namba kirumi
Ukikosoa miundombinu tu umehujumu uchumi
Wakazaliwa chawa wafata upepo ka bendera
Walojifanya sugu walienda jela
Watu wakakiita chuma na hakikuwa na huruma
Na hakikuwa na njia za panya mipango yote ilibuma
Bado vita havina suluhu na kupona ni Majaliwa
Sikuweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa
Siku Paka akishika mwambie Panya tunataka Katiba
Hatuogopi hizi shida tutapita hata kama kuna miba
Siku Paka akishika mwambie Panya tunataka Katiba
Hatuogopi hizi shida tutapita hata kama kuna miba
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele
Kuwatesa panya ndio sifa za paka shume
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele
Huyo nyau nyau nani atamfunga paka kengele
Eyoo paka alitawala huu msitu wa serikali
Panya ndo sisi kapuku hatuna hali
Wasiwasi maisha yetu ya mitego katiba ndo ilimpa nguvu huyu paka mwenye ego
AKA donstone paka the DOD
Vipi ashikwe na kiu na maziwa ndo kodi
Kwa panya hakuna minofu na ziliadimika tii
Alitubana tuwe na njaa kwa utii tuseme please
Mtaani kuna njaa hakunali si ye kidume
Tabia ya kuwatesa panya ndo sifa za paka shume
Kwenye runinga alivimba paka alijiona simba
Paka alifanya alichotaka hata angestaafu si ana kinga
Unamgusa vipi na ana jeshi lilimlinda alipoambiwa sio la hapa kula kiugali nikashiba
Na sio Sinza hadi Mafinga hofu ilijaa giza nene
Wanaharakati walimsaka Beni toka saa nane
Kwenye damu ya Akwilina walilipa damu hatujui aliyempiga risasi naamini yuko kazini
Zaidi nani sasa nyie au wadai Katiba nchini
Au kwa vile panya angekuwa paka angefanywa nini
Okay kwani aliyemteka Roma si ndo alivamia mawingu
Je nani alimteka Mo nioneshe aliyepigwa pingu
Bado vita havina suluhu na kupona ni Majaliwa
Sikuweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa
 
Back
Top Bottom