Hivi rushwa kwa Matrafiki barabarani imeshahalalishwa Tanzania?

Hivi rushwa kwa Matrafiki barabarani imeshahalalishwa Tanzania?

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Matrafiki hapa dar wanachukua rushwa balaa kwenye daladala na hawaogipi tena. Wanachukue buku mbili mbili hadharani kabisa bila woga na wameachiana idadi ya magari kwamba wewe tunakupa magari labda 40 kwa siku na yule atachukua elfu mbilimbile magari 50 na wanaachiana kabisa.

Kidogo wanaogopa magari binafsi na tinted mna hawajui aliyeko mle.

Rushwa bongo imefika pabaya sana it is as if hatuna serikali mana hakuna anayekemea tena rushwa
 
Karibu kwenye jiji mgeni, Umetokea mkoa / kijiji gani ?

Haya mambo si mapya kwa wenyeji
 
hujalazimishwa kutoa, wananchi pia mnaachia mianya ya wao kupokea hizo rushwa ukiwa umekamilika nakufuata sheria zote yanini utoe rushwa..?
 
Kama mkemeaji kweli wa rushwa kushikwa na makosa kwa gari basi we lipa fine ya chet elfu 30 badala ya Elfu 2 mpaka 5

Yote ya yote rushwa hijaruhisiwa ila inasaidia ndio maana zinatoka hizo elfu 2
 
Alisemaga YA KIWI,aliyefuata akasema '..... KULINGANA NA UREFU WA KAMBA ZENU'
Uatakaje sasa?
 
Back
Top Bottom